TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Pumzika kwa amani binamu...[emoji25][emoji24]
 
Daah andjul ali-like comment yangu kwenye uzi wa zamani wa Warumi. Mmh ile nafungua naona RIP kwenye ID ya Warumi; nikakukumbuka ghalfa. Kwa kweli mmepitia mengi na Warumi kwenye hekaheka za umbea. Nakumbuka enzi zile mnachambana na Matola;Warumi anachanganyikiwa na vichambo hadi anajiquote mwenyewe.

Evelyn Salt unakumbuka binamu alivyoenda kulala kwenye msiba wa Marehemu Kuambiana ili tu kutuletea ubuyu? Daah binamu yetu maskini
Yani ni mixed feelings, huku nakumbuka mambo yake nacheka, huku nakumbuka tena he is no more machozi yananilenga.... Matola pekee ndio alikuaga kiboko ya warumi, binamu jamani
 
Yani ni mixed feelings, huku nakumbuka mambo yake nacheka, huku nakumbuka tena he is no more machozi yananilenga.... Matola pekee ndio alikuaga kiboko ya warumi, binamu jamani
Ndo na mi kinachonikuta.
Nakumbuka vitu nacheka, af nikikumbuka kuwa hayupo tena, kilio.
Hata sielewi.

Matola alitoshana nguvu na warumi.
Thread tulikuwa tunawaachia wao.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndo na mi kinachonikuta.
Nakumbuka vitu nacheka, af nikikumbuka kuwa hayupo tena, kilio.
Hata sielewi.

Matola alitoshana nguvu na warumi.
Thread tulikuwa tunawaachia wao.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna siku alimind akasusa kutoa ubuyu, analalamika anahangaika kupata umbea anaenda hadi mbali kwa garama zake kutafuta umbea analeta halafu tunakuja kumuita muongo, ameenda hadi nyumbani kwa wema kuwachungulia wema na diamond dirishani afu tunamuita muongo 😂😂😂😂
 
Pole sana kipenzi...

Ila huyu marehemu sikumwonaga jukwaa letu pendwa...

Alikuwa anajificha jukwaa gani? Maana yaonekana ni maarufu kwelikweli
Ahsante laaziz.
Huyu alikuwa anakuwepo jukwaa moja tu.
Sijawahi kumuona jukwaa lingine kwa kweli.

Huku kuna kipindi WARUMI alikuwa analead the show.
Umbea wake ulikuwa verified
El classico
Una ushahidi
Una codes.
Una ladha.
Na si unajua mke wenu mi bora niache kupika ngaralimo ila nipate umbea.
Basi dah!!
Hali sio hali wallahi.
 
Kuna siku alimind akasusa kutoa ubuyu, analalamika anahangaika kupata umbea anaenda hadi mbali kwa garama zake kutafuta umbea analeta halafu tunakuja kumuita muongo, ameenda hadi nyumbani kwa wema kuwachungulia wema na diamond dirishani afu tunamuita muongo 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna siku alimind akasusa kutoa ubuyu, analalamika anahangaika kupata umbea anaenda hadi mbali kwa garama zake kutafuta umbea analeta halafu tunakuja kumuita muongo, ameenda hadi nyumbani kwa wema kuwachungulia wema na diamond dirishani afu tunamuita muongo 😂😂😂😂
Kwamba alienda kuchungulia dirishani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥺🤣🥺🥺🤣🥺🤣🥺🤣🥺🥺🤣🥺🤣🥺😭🥺😭🥺😭🥺🥺😭🥺😭🥺😭🥺😭🤣🥺😭🥺😭🥺🥺😭🥺😭🥺🥺😭.

Hakyamama.

😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭!!
 
Binadamu hatuna control yoyote na maisha yetu. Inatisha sana. Tuishi kwa shukrani sana kwa muda tunaoendelea kupumua...
Rest easy bro.
 
Lala Salama Binamu!!!!
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
Daaah
 
Ahsante laaziz.
Huyu alikuwa anakuwepo jukwaa moja tu.
Sijawahi kumuona jukwaa lingine kwa kweli.

Huku kuna kipindi WARUMI alikuwa analead the show.
Umbea wake ulikuwa verified
El classico
Una ushahidi
Una codes.
Una ladha.
Na si unajua mke wenu mi bora niache kupika ngaralimo ila nipate umbea.
Basi dah!!
Hali sio hali wallahi.
Yani mke huna maana kabisa. Umenifanya nicheke kwenye maombolezo.

Basi pole sana. Haya mambo yanauma...

Mtu humjui physically lakini kwa maandishi yake tu anakuwa kama ndugu

RIP kinara wa umbea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom