The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes.
A very fine boy.
Dah!!
Binamu jamani
Like haimaanishi kua umependa ulichokisoma au umefurahia kilicho tokea,Naona habari hii kuna likes 100...najiuliza kunapotokea tangazo la kifo, mtu au watu wanaolike ni kwamba wamefurahia kifo cha mhusika? Nadhani mabosi wa jf sijui mnawaita mods wawe wanafuta like kwenye matangazo ya vifo.
Hili ndio life mkuu wanguPoleni sana wakuu,Mungu amrehemu warumi.
Itabidi nijitolee kidogo kuja jukwaa hili nitoke kwanza kule intelligensia.Tangu mdau wetu aliyekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha jukwaa letu halipoi, ndugu warumi kututoka siku ya leo. Ni huzuni kwetu sote na hatukutegemea kupata taarifa hii, labda tungeweza kumsaidia lakini yaliyopita si ndwele.
Lakini je, ni nani ataweza kuvaa viatu vyake? Kwa kweli tuzidi kumuombea mwenyezi Mungu amlaze mahali anapostahili.
~Raha ya milele umpe ee bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani. Amen.
Tutakukumbuka daima Mr.
" MJI MZITO HUU..!" by warumi
R.I.P commander!✊👮
Huyu alikuwa na jukwaa moja tu celebrityPole sana kipenzi...
Ila huyu marehemu sikumwonaga jukwaa letu pendwa...
Alikuwa anajificha jukwaa gani? Maana yaonekana ni maarufu kwelikweli
Sasa marehem anafichwa kwa kosa gani? Anonymous kwamba unaendelea kuishi isije kuletea shida huko mbele, sasa si katuacha picha tumuage sio kila mtu yupo dar kufika kwenye jeneza na kumuaga kwa kumuonaAchana na picha mimi nina album yake, nina id yake ya instagram na fb.
Lakini je vya nini?ukiitaka picha nenda msibani wanafamilia watakuonyesha.
Em kuwa serious kidogo...Lakini je, ni nani ataweza kuvaa viatu vyake?
Tushachambwa sie jamaniUnakumbuka kuchambwa ka sinta kule hahaaaa!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Dîna acha tu yaani naona kama sio.. Nimeishiwa maneno kabisaUnakumbuka tulikuwa tunamsaidia kuchamba wanaomchamba
Tusipomsaidia hatupi ubuyu,anaenda hadi kulala msibani