TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.

Jamaa alikuwa anapenda Habari za udaki hatari yani.
 
Alisikitisha sana huyo member, alikua anaitwa mpauko au miguu ya kuku....kaja mara kadhaa kuomba msaada hakupata, akaandika sijui anataka kujiua anaulizia sumu, comments zilizokua zinaandikwa daah 😢😢, hatimae akajinyonga.
Aendelee kupumzika kwa amani.
 
Usifanye hivi tena mkuu.
 
Pole kwa familia ya warumi , innallillah wainna ilalyh rajiuun
 
Mimi nauliza tu kumbe humu watu wanajuana? Ilikuwaje ndugu wa warumi akampigia amu simu taarifa za kifo?

Kumbe humu watu wanajuana hadi ndugu kha.

Mimi humu najuana na watu wawili tu, na hatuwasiliani mara kwa mara kwa mwaka tunaweza wasiliana mara moja au tusiwasiliane kabisa.
Sasa najiliuliza ikitokea nikafa nani atajua? Kumbuka hata hawa wawili tunawasiliana kwa nadra sana.dah

Ila mimi mkiona sijaingia humu wiki mjue labda nimekufa maana sijawahi kukosa bando na nikibiwa simu siwezi maliza wiki sijanunua.

Ni hayo tu.
Rip cha umbea wetu warumi.
 
Sasa Mkuu Pascal Mayalla si uratibu hili suala la rambirambi?
 
Mi nakufahamu ntaleta taarifa mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…