black foreigner
Member
- Jul 29, 2021
- 24
- 45
RIP Warumi, nilitumia muda wote kusoma baadhi ya nyuzi zako, uliziandika kwa ufasaha na kwa lugha nzuri ya ki uandishi
SO SAD ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
SO SAD ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yako katika sekta ametutoka. Huwa nawakubali sana kwa kazi yenu, nakupa pole kwa kuondokewa na workmate jukwaaniR. I. P mumbea mwenzetu wa huku celebrity forum ubuyu wako ulikuwaga wa moyo, nimesikitika sana
Nimesikitika hadi machozi jamani warumi nyie ooh Mungu amlaze pema peponi. Warumi aliheshimisha jukwaa la celebrity forum aisee hadi na mimi nikawa nalipenda hili jukwaa. Nimesikitika sana, wapenda ubuyu wote wa JF poleni sanaNdugu yako katika sekta ametutoka. Huwa nawakubali sana kwa kazi yenu, nakupa pole kwa kuondokewa na workmate jukwaani
ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ Jamaniii
Haelewi huyoKama tunataka kwenda msibani he?huoni unatubania!
Bonge la ushauri Chifu.Opppsssss R.I.P warumi
Tutamiss stori zake za skendo zinazohusu watu maarufu
Apumzike kwa amani.
Pole kwa familia; nashauri wakati mwingine ikipatikana taarifa ya mgonjwa hapa JF itolewe taarifa; wanafamilia wa JF wanaweza kusaidia au hata kwenda kumjulia hali