secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Nimejikuta namfollow leo baada ya kuambiwa amekwisha kufa !!!
thamani ya mtu ni kubwa akifa duuh
thamani ya mtu ni kubwa akifa duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaniii hunifikii mieOMG!!Apumzike kwa amani jamani!
Imeniuma as if namjua personally
Kweli uhai ni fumbo, leo mzima kesho unaondoka duniani. I can't believe kama ni kwelii though she/he wasn't Immortal. Ila imekua mapema mno wanadamu bado wanahitaji uwepo wake na nature inaona muda ushaisha wa kutumikia Kusudi lake la kua duniani.
Mungu amjalie rehema zake na kumpatia pumziko la milele, Alikua kama sisi nasi tutakua kama yeye[emoji257][emoji257][emoji257]View attachment 1908894
Uwiiii nalia hapa shoga anguHuu Msiba umeniumiza.[emoji24][emoji24][emoji24]
Lile Jukwaa letu la celebrity kuna namna litapaywa..
Pumzika kwa Amani Binamu.
witnessj
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji22][emoji22][emoji24] mi hapa nimeishiwa nguvu,[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Jamaniii