Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen!Mola ampumzushe kiumbe wake
Masikini. Haya magonjwa unaweza hisi yanawapata walioenda age kumbe hata vijana. Bado mdogo kabisa masikini. DaaaahAmefariki jana saa 4.
Figo figo figo imemuondoa binamu wetu.
mkuu mbn humu JF tunafahamiana wengi tu ni wewe tu km utaamua kuishi safi na wengneWe mleta mada ulimjuaje wakati mi kwa sura namjua Pascal Mayala na mkurugenzi wa jf pekee? Yaani mpaka ukamjua dada yake? Kwa hiyo nikienda msibani naweza kukuona 'amu'?