TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Mi hamna muda nilikuwa nacheka nanthread za Warumi kama muda akijigeuka mwenyewe.
Utaona
"Ila mi mmbea jamani ,uuuuwih.
Mi mbeeea mbeaaaa, sijui nilizaliwa lini mbwa mimi"


Af anaendelea na ubuyu
Hakyamama nilikuwa nachekaaaa nacheka.
Daaaah udongo unakula huu.
 
Kuna siku alimind akasusa kutoa ubuyu, analalamika anahangaika kupata umbea anaenda hadi mbali kwa garama zake kutafuta umbea analeta halafu tunakuja kumuita muongo, ameenda hadi nyumbani kwa wema kuwachungulia wema na diamond dirishani afu tunamuita muongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Jamani binamu come back[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Daaaa imenihuzunisha Sana Kaka mkuu na kiranja wa jukwaa la Cereblities kutoka!
Jamaa alikua mithili ya Spy wa FBI
Kupeleleza Maisha ya mastaa na watu maarufu kiasi kwamba aliwachimba mbaka wanapoteana
Kwa kuleta info mbali mbali kuwahusu Kuna kupitia yeye tulipata kujua nyuma ya kamera na Maisha halisi ya mastaa wa kibongo!

R.I.P Mwanajamvi
JF tutaukumbuka mchango wako!
 
Nakumbuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Hadi nilimfollow hahaha nikazama nae DM nikajitambulisha akacheka sanaa[emoji16][emoji16]
Nilimfollow pia, nikawa namcheki tu anavokula vichambo huko insta mwisho akatelekeza page akakimbia 😂, nikimuuliza insta vipi mbona haupo anajifanya ntarudi binamu....

Warumi kwakweli katuburudisha mnooo, ameondoka mapema sana.
 
Pumzika kwa amani binamu...ulitufurahisha sana...kuna ligi yako na matola na ile ya eiyer na khartaan...jf was amazing
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom