cocastic yupo!Uwiiii nalia hapa shoga angu
Tutabaki na nani sisi jamani, uwiiii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cocastic yupo!Uwiiii nalia hapa shoga angu
Tutabaki na nani sisi jamani, uwiiii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134]
Kweli ndugu, alikuwa na kipaji.Warumi mpaka sasa picha yake ipo usoni pangu,
hahahaha siasani akatuachia wenyewe akajirudia zake huku alipopatawala….
nakumbuka aliupatia uhusika mno na baadhi ya taarifa binafsi za public figures tulimpa PM halafu yeye ndo akawa anazileta kwa mbwembwe na Madaha yote!! It was so funny and now he’s no more….
I will miss him kwakweli…
meest well warumi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Hivi binamu unakumbuka kipindi kile kwenye vichambo kwa Sinta; ile comment ya wale wapenzi wawili walioamua kujifanya askari na nesi? Na yule wa kumchamba mwenzie sijui ana mguu kama mtwangio wa kinu?
Warumi mpaka sasa picha yake ipo usoni pangu,
hahahaha siasani akatuachia wenyewe akajirudia zake huku alipopatawala….
nakumbuka aliupatia uhusika mno na baadhi ya taarifa binafsi za public figures tulimpa PM halafu yeye ndo akawa anazileta kwa mbwembwe na Madaha yote!! It was so funny and now he’s no more….
I will miss him kwakweli…
meest well warumi
Hahaha nakumbuka binamu. Yaani watu walikuwa wanashindwa kuambiana ukweli huko; wanaenda kurushiana vijembe kwa SintaNakumbuka kipindi hicho ilikuwa balaa
Halaf na yule alikuwa akienda kazin na nguo zake za kung’aaa eti anawakera wenzie nguo za usiku anavaa mchana yeye kazini
Akaja nae kuwajibu kuwa wanamuonea wivu [emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaHahaha nakumbuka binamu. Yaani watu walikuwa wanashindwa kuambiana ukweli huko; wanaenda kurushiana vijembe kwa Sinta