Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kumbe alikuwemo kwenye lile kundi la watu waliokaza bongo zao kudai picha!?Aliuliza siku ya kuaga eti akifika kanisani muhimbili akiulizia msiba wa warumi ataonyeshwa?akakomaa pia tuweke picha.
Sikujibu kutokumvunjia heshima.
Lakini leo yeye kaja kumvunjia heshima odo.
Sent using Jamii Forums mobile app