Hakika hatujui siku wala saa hata sekunde. Pumzika kwa Amani mdogo wetu. Umetangulia mapema.
Daima nitaikumbuka signature yako "Tulia kwa Yesu, Dhiki Kuu inakuja lakini kuna Tumaini"
Ndugu zangu, bodaboda ni usafiri hatari sana japo unapendwa na watu wengi.
Majuzi nimenusulika kifo cha bodaboda kwa uzembe wa dereva. Madereva wa bodaboda wana mapungufu makubwa sana kupanda badaboda kwenye Highway au Main road ni hatari sana.