Mungu ampumzishe kwa amani na tunawapa pole ndugu jamaa na marafiki waliofikwa na msiba huu mkubwa.
Jamani tujue bodaboda siyo chombo salama kusafiria haswa unapokuwa na haraka. hapa arusha tumepoteza watu wengi wakiwapo vijana wawili wa chuo cha Uhasibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.