TANZIA Mwanachama na mfanyakazi wa JamiiForums, Dotto Mnzava afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

TANZIA Mwanachama na mfanyakazi wa JamiiForums, Dotto Mnzava afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

Status
Not open for further replies.
Nimeishiwa maneno. Ni msiba mzito kwa wana JF kwa kweli
 
Wapendwa wana Jf, ni masikitiko makubwa kuwajulisha kifo cha member mwenzetu hapa Jf Dotto Mnzava kilichotokea leo mchana saa 8 baada ya kupata ajari ya Pikipiki maeneo ya Victoria jijini Dar.


Mwili wa marehemu umehifadhiwa ktk hospital ya mwananyamala kusubiri taratibu zitakazofata.

Pumzika kwa amani rafiki yangu Dotto.

= ajali

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
 
Ni kweli amefariki nimeshuhudia ajari hapa Victoria karibu na moroco ilikua mida ya saa 8:45 mchana,apumzike kwa amani.

Ilikuwaje mkuu??,ni kwamba aligongwa na gari akiwa kwenye pikipiki au alianguka nayo???.
 
mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi ila pia twakumbusha sisi tuliobaki tuyatende yaliyomema na kuyaacha yale yote allah aliyotukataza
 
Inauma,amefariki akiwa bado kijana mbichi kabisa,mwenye malengo na matarajio mengi katika maisha,atakumbukwa kwa ukarimu na ucheshi wake. Hakika siku za mwanadamu ni za kuhesabika. Pumzi na uzima tulivyonavyo leo tuvitumie vema kwa kutendeana mema na kumkumbuka muumba siku za uhai wetu.

Maisha ya mwanadamu ni kama mshumaa
 
Wote TUPO njiani na kila mtu Ana pa kupitia, tuandae mapito yetu. RIP
 
Angekuwa ni muislamu mwenzio usingelete huu ujinga wako hapa wa kujifanya mwanafasihi! Nyie wapuuzi ni wabaguzi sana! Lala salama Bw.Mnzava.
Mbona upo sensitive saana na dini. Ungetambua alichoandika hapo chini huo mdomo ungeufunga. Kaandika maneno ambayo hata waislam wanaambiwa. na hiyo kukosoa li, kwenye msiba watu wanapokea simu. Huu ni ujinga kuwa sensitive na vitu vidogo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom