johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwanachama wa Chadema ambaye kwa sasa ndio kiongozi wa kuimarisha Chama kanda ya Mwambao wa Bahari ya Hindi Tanga hadi Mtwara amesema ghorofa lake la Mbweni hajalijenga kwa Fedha za Ruzuku ya CUF.
Kambaya amesema Yeye ni mfanyabiashara ya magari hivyo Ujenzi wa Jumba hilo la kifahari ni kutokana na Mapato halali ya biashara zake.
Source: Mwanahalisi Digital
Kambaya amesema Yeye ni mfanyabiashara ya magari hivyo Ujenzi wa Jumba hilo la kifahari ni kutokana na Mapato halali ya biashara zake.
Source: Mwanahalisi Digital