Mwanachama wa chama cha kikomunisti cha China (CPC) haruhusiwi kuwa na dini. Kwanini?

Mwanachama wa chama cha kikomunisti cha China (CPC) haruhusiwi kuwa na dini. Kwanini?

Alibeba vipengele vibovu vibovu vya China na Russia na na akaacha vile vya maana na ndio sababu pamoja na uwepo wa Ujamaa Russia na China lakini bado waliweza kuzalisha Mabilionea wakati sie huku aliewakuta hata na mabucha ya nyama akawapora na aliewakuta na mashamba makubwa kina Said Mwamwindi akawapora akayagawa kwa Makada ya TANU na kilimo kikaenda ahera hadi leo
Nyerere alikuwa na ukaribu na Lee Kuan Yew former Singapore PM.

Kuna baadhi ya mambo ya kiuchumi Lee alimshauri Nyerere aboreshe pia ikiwezekana kubadili kabisa sifahamu kwa nini Nyerere hakutekeleza ushauri wa Lee ?!.
 
Kusimika Ukomunisti unawahitaji watu makatili kama Mao na Lenin, Nyerere hakuwa hivyo ndio maana yeye na baadhi ya viongozi wengine Waafrika wa 1960s wakaja na kitu kinaitwa African Socialism.
Kama ukomunisti na ujamaa kwake ulikuwa mgumu rafiki yake Lee alifanya vizuri na mawazo ya kibepari alipaswa kupokea ushauri wa Lee na kujifunza Singapore.

Deng alivyo kwenda Singapore kuhusu masuala ya Vietnam na Usovieti Lee alimshauri mambo mengi mazuri ikiwemo masuala ya uchumi naye akasikiliza na kuyafuata alivyo rudi nyumbani.
 
Dini zina faida na hasara pia zinaweza leta muungano pia utengano unaweza tokea hasa pale palipo na dini kubwa hasama.

Dini zinapaswa kuchunguzwa na kufuatiliwa mienendo yao kwa makini kabisa ili zisilete madhara bila kufanya hivyo matatizo yataletwa kupitia hizo hizo dini
Kwenye taifa ambalo 99% ya watu wake wako katika dini mbalimbali serikali kuanza kuchunguza baadhi ya dini au kuwapangia jinsi ya kuenenda katika dini zao ni kutafuta vurugu. Huyo mtu unayetaka akachunguze dini ya wengine unakuta na yeye ana dini yake inakuwa ni sawa na mwanachama wa Yanga kuwa refa katika mechi ya Yanga na Simba. Hata akichezesha fair vipi Simba wakifungwa watamlalamikia tu.
 
Kama ukomunisti na ujamaa kwake ulikuwa mgumu rafiki yake Lee alifanya vizuri na mawazo ya kibepari alipaswa kupokea ushauri wa Lee na kujifunza Singapore.

Deng alivyo kwenda Singapore kuhusu masuala ya Vietnam na Usovieti Lee alimshauri mambo mengi mazuri ikiwemo masuala ya uchumi naye akasikiliza na kuyafuata alivyo rudi nyumbani.
Nyerere alileta Ujamaa ili afilisi watu ili apate nguvu za kisiasa kwa kuwa ni rahisi kutawa mafukara na sio kuwa alilenga kwny kuimarisha uchumi

alipora hata Shule na mali za Taasisi za dini ili kuzivunja nguvu ili asipate Upinzani na ndio sababu hata Uchifu aliupiga vita
 
Singapore ilijiekeleza zaidi kwenye state capitalism tangu mapema, haijawahi kuwa na ugomvi na matajiri, zaidi sana iliwakaribisha matajiri kutoka nje kuwekeza na ikahakikisha hakuna mazingira ya kusumbuliwa biashara zao kwa urasimu, rushwa n.k
Kama ukomunisti na ujamaa kwake ulikuwa mgumu rafiki yake Lee alifanya vizuri na mawazo ya kibepari alipaswa kupokea ushauri wa Lee na kujifunza Singapore.

Deng alivyo kwenda Singapore kuhusu masuala ya Vietnam na Usovieti Lee alimshauri mambo mengi mazuri ikiwemo masuala ya uchumi naye akasikiliza na kuyafuata alivyo rudi nyumbani.
 
Kwenye taifa ambalo 99% ya watu wake wako katika dini mbalimbali serikali kuanza kuchunguza baadhi ya dini au kuwapangia jinsi ya kuenenda katika dini zao ni kutafuta vurugu. Huyo mtu unayetaka akachunguze dini ya wengine unakuta na yeye ana dini yake inakuwa ni sawa na mwanachama wa Yanga kuwa refa katika mechi ya Yanga na Simba. Hata akichezesha fair vipi Simba wakifungwa watamlalamikia tu.
Dini ni jambo linalo hitaji umakini katika kushughulika nalo bila kuleta migogoro mikubwa na chuki baina ya watu.

Hili ni tatizo linalo sumbua India sana kati ya Hindus na Muslims, Nigeria kati ya Christians na Muslims
 
Nyerere alileta Ujamaa ili afilisi watu ili apate nguvu za kisiasa kwa kuwa ni rahisi kutawa mafukara na sio kuwa alilenga kwny kuimarisha uchumi

alipora hata Shule na mali za Taasisi za dini ili kuzivunja nguvu ili asipate Upinzani na ndio sababu hata Uchifu aliupiga vita
Kama ni hivyo hakuwa sawa
 
Dini ni jambo linalo hitaji umakini katika kushughulika nalo bila kuleta migogoro mikubwa na chuki baina ya watu.

Hili ni tatizo linalo sumbua India sana kati ya Hindus na Muslims, Nigeria kati ya Christians na Muslims
Zungumzia kuhusu utaratibu ulioanzishwa na Xi unaolenga kusupress uhuru wa kuabudu.

Utaratibu wenu sio rafiki kwa haki za binadamu. Kama wanachama wa CCP hawatakiwi kuwa na dini kwanini msiishie hapo hapo mnalenga mpaka wasio wanachama.

Xi na selikari yake wamenzisha utaratibu ambao mi naweza kuuita "person worship " ambao unamtaka mfanyakazi ambae ni mwanachama na hata asie mwanachama kuyasoma mafundisho ya Xi? Kufanya group discussion ikimaanisha wawe wanakutana kila wiki kujadili mawazo binafsi ya Xi, na kuandika ripoti.

Hii ni inaonesha ni kwa jinsi gani CCP wanatumia mwamvuli huu ambao ni kama "cultural revolution " ili kulinda nafasi zao au unaweza kusema "Protective of their regime"

Kama umuhimu wa dini hauonekani kwenye chama ambacho kina watu milion 90 tu kwanini selikari yenu inayoongozwa na ichoicho chama inapushi ajenda hii mpaka kwa wachina wasiokuwa wanachama wa CCp? Wewe unaona hii ni sawa?

Unavyotoa maelezo yako unaeleza kama vile hili swala lipo ndani ya chama peke yake wakati huohuo unasahau kutuelezea ni kwanini mamia ya mamilioni ya waamini wa imani ya " FALUN GONG" ambao idadi yao ilikuwa na waamini wengi kuzidi chama cha CCP walikamata wakateswa wakauwawa na wengine kutolewa viungo vyako kwa lazima, je na wao ni walikuwa wanachama wa CCP? Hauoni kama hii ilifanywa ili kulinda chama na sio vinginevyo?

Haujazungumzia waisilamu wa Urygur ambao mmewaweka kwenye magereza na mnawafanyisha kazi ngumu ikiwemo pia kuwatesa, wanawake wanabakwa na pia Kuna ripoti ya kutolewa viungo vyako vya mwili kilazima "forced organ harvesting" , je na hao pia ni wanachama wa CCP?

Haujazungumzia kinachoendelea Tibet, Xi ameenda kuivuruga tibeti, watu wasiokuwa wanachama waliokuwa na uhuru wa kuabudu na wenye dini zao za karne na karne Xì na Selikari yake wameenda kuwavuruga na kuwakamata na the same kuwaweka kwenye makempu na Kuna ripoti imetoka inasema sasahivi magereza wameshaanza kukusanya DNA za watu walioko kwenye makempu wa Tibeti, ikiwa ni hatua za mwanzo zinazofanyagwa kelekea kutafuta match wa viungo vyao, je hao pia ni wanachama wa CCP?

Ukija hapa utueleze ukweli usije na propaganda zako za uongo! Ukweli ni kwamba China hakuna uhuru wa kuabudu dini yoyote isipokuwa kukiabudu chama na kumuabudu Xi, uwe mwanachama usiwe mwanachama utaratibu ndo huo!

Utaratibu wenu hauufai ulimwengu, kwasabau unavunja haki za binadamu na unamnyima binadamu haki na uhuru wa kuabudu.

Maendelo ya namna yoyote ni lazima yaheshimu haki za binadamu, maendeleo yanayokuja ambayo yanakuwa hayaheshimu haki za binadamu na uhuru wa kuabudu hayafai popote pale Duniani na ndio maana kumeongezeka wimbi kubwa la wakimbizi wa kichina kutokea China.

Mara nyingine uwe unatoa full details ikiwemo pros na cons zake sio kuisifia CCP tu hapa.
 
Zungumzia kuhusu utaratibu ulioanzishwa na Xi unaolenga kusupress uhuru wa kuabudu.

Utaratibu wenu sio rafiki kwa haki za binadamu. Kama wanachama wa CCP hawatakiwi kuwa na dini kwanini msiishie hapo hapo mnalenga mpaka wasio wanachama.

Xi na selikari yake wamenzisha utaratibu ambao mi naweza kuuita "person worship " ambao unamtaka mfanyakazi ambae ni mwanachama na hata asie mwanachama kuyasoma mafundisho ya Xi? Kufanya group discussion ikimaanisha wawe wanakutana kila wiki kujadili mawazo binafsi ya Xi, na kuandika ripoti.

Hii ni inaonesha ni kwa jinsi gani CCP wanatumia mwamvuli huu ambao ni kama "cultural revolution " ili kulinda nafasi zao au unaweza kusema "Protective of their regime"

Kama umuhimu wa dini hauonekani kwenye chama ambacho kina watu milion 90 tu kwanini selikari yenu inayoongozwa na ichoicho chama inapushi ajenda hii mpaka kwa wachina wasiokuwa wanachama wa CCp? Wewe unaona hii ni sawa?

Unavyotoa maelezo yako unaeleza kama vile hili swala lipo ndani ya chama peke yake wakati huohuo unasahau kutuelezea ni kwanini mamia ya mamilioni ya waamini wa imani ya " FALUN GONG" ambao idadi yao ilikuwa na waamini wengi kuzidi chama cha CCP walikamata wakateswa wakauwawa na wengine kutolewa viungo vyako kwa lazima, je na wao ni walikuwa wanachama wa CCP? Hauoni kama hii ilifanywa ili kulinda chama na sio vinginevyo?

Haujazungumzia waisilamu wa Urygur ambao mmewaweka kwenye magereza na mnawafanyisha kazi ngumu ikiwemo pia kuwatesa, wanawake wanabakwa na pia Kuna ripoti ya kutolewa viungo vyako vya mwili kilazima "forced organ harvesting" , je na hao pia ni wanachama wa CCP?

Haujazungumzia kinachoendelea Tibet, Xi ameenda kuivuruga tibeti, watu wasiokuwa wanachama waliokuwa na uhuru wa kuabudu na wenye dini zao za karne na karne Xì na Selikari yake wameenda kuwavuruga na kuwakamata na the same kuwaweka kwenye makempu na Kuna ripoti imetoka inasema sasahivi magereza wameshaanza kukusanya DNA za watu walioko kwenye makempu wa Tibeti, ikiwa ni hatua za mwanzo zinazofanyagwa kelekea kutafuta match wa viungo vyao, je hao pia ni wanachama wa CCP?

Ukija hapa utueleze ukweli usije na propaganda zako za uongo! Ukweli ni kwamba China hakuna uhuru wa kuabudu dini yoyote isipokuwa kukiabudu chama na kumuabudu Xi, uwe mwanachama usiwe mwanachama utaratibu ndo huo!

Utaratibu wenu hauufai ulimwengu, kwasabau unavunja haki za binadamu na unamnyima binadamu haki na uhuru wa kuabudu.

Maendelo ya namna yoyote ni lazima yaheshimu haki za binadamu, maendeleo yanayokuja ambayo yanakuwa hayaheshimu haki za binadamu na uhuru wa kuabudu hayafai popote pale Duniani na ndio maana kumeongezeka wimbi kubwa la wakimbizi wa kichina kutokea China.

Mara nyingine uwe unatoa full details ikiwemo pros na cons zake sio kuisifia CCP tu hapa.
Naive
 
Back
Top Bottom