TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

Pumzika kwa amani, mwenyezi Mungu akupe rehema sake.

Poleni wanafamilia , ndugu na marafiki wote.

Amina.
 
Kwani Marehemu Ni mkaka au mdada mbona sielewi Tena?
Kiingereza kiingereza kiingereza ndugu, kumbuka kilikuja kwa meli, kikubwa ujumbe umefika kwa Mungu, japo utafika ukiwa umechoka sana.
 
Rip kamanda
Screenshot_20220204-182410.png
 
Kiingereza kiingereza kiingereza ndugu, kumbuka kilikuja kwa meli, kikubwa ujumbe umefika kwa Mungu, japo utafika ukiwa umechoka sana.
Kabisaaa nitafika naburutwa...wengine may her soul wengine may his soul Sasa nafanyaje mngindo wa watu mie?
 
Back
Top Bottom