Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
.......🤐Mungu akurehemu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.......🤐Mungu akurehemu!
Mpo vizuri wazee wa pori kwa poriWatu tuna connection nje ya kuandika hapa mkuu
Utajua hujuiLeo nitajua I'd zote sichezi mbali, Jessy apumzike kwa amani.
Wakati tuliwahi mimi na wewe kutaka kuchumbiana. Distance ikawa kikwazoMkuu kuna maisha baada ya behind the keyboard ya jf, watu tunafahamiana humu, wengine hufikia hadi kuoana. Je watashindwa kufahamu kama mwenzetu kapatwa na tatizo?.lazima kuna atakayekua na taarifa. Unless hufahamiani kabisa na watu humu.
Twin ake nipo miss too[emoji7]Twin upo? Nimekumiss
ni VIRUS banaUmepima sasa...au unajimwambafai tu hapa?
Kavu kila mtu anapenda tatizo ni wale bacteria nyoko sana wakiingia kwa mwili
Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi RajiuunNani anisaidie kutoa pole kwa lugha ya kiislamu
Napendaga sana kutumia hilo neno ila kuliandika ndio sijui...
Much love
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepima sasa...au unajimwambafai tu hapa?
Kavu kila mtu anapenda tatizo ni wale bacteria nyoko sana wakiingia kwa mwili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa inahusu nn kumjua mtu, na yeye kujifaragua?Nyie mnaofahamiana nje ya JF huwa mnawezaje kupotezea watu wanaojifaragua ufahari humu ndani ilhali mnawajua ni "tiamaji tiamaji" in real life.
Kwangu hii issue ni UCHURO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitembelea Rim? Badilisha tyre lol.Dahhhh....
Hauna hata huruma..[emoji29]
Kijana wa leo ana nafasi kubwa ya kufikia miaka 30, 40, 50, 60, 70 kuliko kijana wa 30 years ago.. Kuliko kijana wa 50 years ago.Pumzika kwa amani Jessy. Wote tu wapitaji duniani hapa😟.
kuifikia na Kuivuka miaka 30 kwa kijana wa sasa ni ngumu mno, Mungu atuongoze tu.View attachment 2105766