Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Mafinga[emoji2]Tulikuwa wote 841 KJ nitaishia hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafinga[emoji2]Tulikuwa wote 841 KJ nitaishia hapo.
Ulituomba tukupe pole tumekupa,nilichoelewa Ni kwamba msiba umekugusa au sijaelewa vizuri mkuu?Kwani wewe umeelewa aje mkuu..🙄
Kwani Marehemu Ni mkaka au mdada mbona sielewi Tena?
Joannah unazingua, umeona hiyo shida sasa.Kwani Marehemu Ni mkaka au mdada mbona sielewi Tena?
Alale pema peponi Mrombo mwenzangu...Tumepokea kwa masikito makubwa taarifa za kifo cha mwenzetu jikeshupa ambaye alikuwa mwanachama wa JF. Tunatoa Poleni nyingi kwa Familia yake pamoja na marafiki zake na ndugu na Jamaa ambao wameguswa na huu msiba.
jikeshupa amefariki asubuhi ya leo katika Hospital ya KCMC Mkoani Kilimanjaro alipokuwa anapata matibabu . Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Unga LTD Arusha. Mungu ampe pumziko la milele
===============
Updates
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi nyumbani kwao Rombo Keni, ibada ya mazishi itaanza saa sita mchana.
Keni? Mkuu,? Mamsera? Tarakea?Alale pema peponi Mrombo mwenzangu...
Poleni sana wafiwa
Mengwe...Keni? Mkuu,? Mamsera? Tarakea?
🤣🤣🤣🤣Umenimix
Tumempoteza mrembo kabla sijapokea mahari asee🤣🤣🤣🤣Umenimix
Ila inauma sana wallah...😪😓😥[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitembelea Rim? Badilisha tyre lol.
Njia yetu moja.Apumzike kwa amaniTumempoteza mrembo kabla sijapokea mahari asee
Ndo hivyo tena sasa tutafanyaje bora nyie mlio wazima si tuliotangulia tunawaangalia tu.Hakika siku za mwanadamu ni chache sana, na kifo ni fumbo tata
RIP member wetu, tangulia make wote tu njia moja.Tumepokea kwa masikito makubwa taarifa za kifo cha mwenzetu jikeshupa ambaye alikuwa mwanachama wa JF. Tunatoa Poleni nyingi kwa Familia yake pamoja na marafiki zake na ndugu na Jamaa ambao wameguswa na huu msiba.
jikeshupa amefariki asubuhi ya leo katika Hospital ya KCMC Mkoani Kilimanjaro alipokuwa anapata matibabu . Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Unga LTD Arusha. Mungu ampe pumziko la milele
===============
Updates
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi nyumbani kwao Rombo Keni, ibada ya mazishi itaanza saa sita mchana.
Possible, mm kuna jamaa yangu tulijuana kuwa tupo JF kwa kuona aki-browse.... Bahati Mbaya akaja akafariki so nikaja kutoa taarifa hapa, sio vibaya kufahamiana wawili au watatu maadamu tu hakuna baya sana mnaloliandika humu na ndo maana kuna verified users.Huwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?