Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa na miaka 15, ametumia kwa miaka 17. Amefariki na umri wa miaka 32. Alizaliwa akiwa ameathirika. Mungu amempa umri. Ninatamani angekuwa amepata mwenzi akazaa. Siku hizi kuna tiba na mtoto anazaliwa mzima kabisaAlianza kumtumia arv akiwa na miaka 17
Typo tumejaa Tele. Tumejificha kwenye keyboardAisee humu JF inaonekana kuna vikongwe sana. Yani miaka 30 mnasema ni binti mdogo?
RIP
Asante sana mkuuPole...[emoji22]
Kwani wewe umeelewa aje mkuu..🙄Pole Sana....Umeeleweka.pole tena
Nimesikitika sana mkuu, alafu nimeumia sanaAaaaaaah mkuu tuambie nini kimekusibu sna mkuu halafu inabidi tuwe makini
Amen...🙏Pole Sana kwako na mwenzetu ampumzike kwa amani
Dahhhh....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajua hujui? Wahi clinic mapema uanze kubugia njugu. Poleeeeh
Mkuu....Pole mkuu Ila unatuchanganya au zilivyotajwa ARV kwenye attachment !!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app