NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Wekeni hata picha bas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hamjui kuwa watu wanajenga urafiki humu?Nami inanichanganya sana.
Huwezi jua Ndugu huenda Yeye ndiyo Dumeshupa Mwenyewe hivyo kaamua Kutuhabarisha Kifo cha Jikeshupa wake.Huwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
Aaaaaaah mkuu tuambie nini kimekusibu sna mkuu halafu inabidi tuwe makiniBasi tu mkuu, yaani ndio hivyo tena hata sielewi...[emoji849]
Hivi mtoto akiwa mdogo utaweza kumpa hvyo vidonge vya ARV mbna vitu vingine unajiongeza tu kuna stage alipofkia ndo kaanza kupewa doziAnatumia tangu kuzaliwa kwahiyo amezaliwa miaka 17 iliyopita?
Aisee..mdogo sana yan.Bye jikeshupa
So sad, binti mdogo jamani, R.I.P Jike shupa😪
Daaah aisee watu wanazidi kututoka nawaza kwa hizi id fake tumewapoteza wengi ila hatujapata taarifa kutokana na u-anonymous tuliojiwekea
R.I.P
Duu! Pole nyingi kwa ndugu , jamaa na marafiki wote wa arehemu!Tumepokea kwa masikito makubwa taarifa za kifo cha mwenzetu jikeshupa ambaye alikuwa mwanachama wa JF. Tunatoa Poleni nyingi kwa Familia yake pamoja na marafiki zake na ndugu na Jamaa ambao wameguswa na huu msiba.
jikeshupa amefariki asubuhi ya leo katika Hospital ya KCMC Mkoani Kilimanjaro alipokuwa anapata matibabu . Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Unga LTD Arusha. Mungu ampe pumziko la milele
===============
Updates
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi nyumbani kwao Rombo Keni, ibada ya mazishi itaanza saa sita mchana.