TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

WanaJF,
View attachment 1235230
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.

Poleni sana JF Arusha Wing na Members wore wa JamiiForums kwa ujumla.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. View attachment 1235020
R.I.P brother. Katika barabara ambazo ni mbaya Arusha ni hiki kipande kuanzia St constatine kuelekea monduli. Mwezi wa sita mwaka huu tulinusurika ajali kubwa nikiwa kwenye hiace basi la Mgamba linataka kuovertake darajani pale sheli karibu na shamba la kahawa burka.
 
WanaJF,
View attachment 1235230
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.

Poleni sana JF Arusha Wing na Members wore wa JamiiForums kwa ujumla.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. View attachment 1235020


Inna lillahi wa inna ilaihi rajiuun.
 
WanaJF,
View attachment 1235230
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.

Poleni sana JF Arusha Wing na Members wore wa JamiiForums kwa ujumla.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. View attachment 1235020
Rip bro,tunaweza kumtambua kwa majina halisi au hata picha kama passport?
 
Mkuu..kila LA kheri huko uendako,safiri salama na ufikie Makao uliyokuwa umejiandalia.Amina
 
Back
Top Bottom