albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 686
innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaungana na wafiwa wote
Mtume Mwamed ndo nani?
ok kumbe imesha fahamika wewe ni mtu wa aina gani kupitia comment zako, mwenyezi mungu akujaze hekma lau hata theluth mbili,kwani huyu marehem alikua ni nani nchi hii kiasi cha kustahili hizo "sarakasi"??? au ndo utapata sifa ukionekana umelia sana msibani? acha ushambenga wee uharo
JAMANI NAONBA MUELEWE KUWA WAMETOKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI TARAFA YA MLOLA.
KAMANDA MTOI AKAWAPELEKA WENZAKE MPAKA LUSHOTO MJINI KISHA AKAONDOKA KUELEKEA NYUMBANI KWAKE NDIO NJIANI GARI IKAPATA AJALI NA NDIPO KAMANDA MTOI AKAFARIKI DUNIA.
Maelezo haya nimeyapata kwa katibu wa chama wilaya Kamanda Dulla.
kwani huyu marehem alikua ni nani nchi hii kiasi cha kustahili hizo "sarakasi"??? au ndo utapata sifa ukionekana umelia sana msibani? acha ushambenga wee uharo
hii tabia ya kuwapa lawama wengine kwa kila tatizo linalotupata ni kama kansa flani ambayo in the long run inajenga hali ya kutokuwajibika na mwisho hua ni mbaya sana!! grow up we mshenzi
wewe ni mpumbavu sana...
Ni Lazima uchunguzi ufanyike. wataalamu wa ajali waliangalie hilo gari kwani inawezekana hii ni foul play. Binafsi sio mtaalamu wa ajali lakini nikiangalia hiyo gari ninashindwa kuelewa inakuwaje vioo vya dirisha viharibike kiasi hicho bila frame zake kuwa na hata chembe ya kupindika! I am just wondering!
Mtume Mwamed ndo nani?