TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Nami nimepata hizo taarifa, innalillaahi wainna ilayhi raajiuun.
 
Mhmn!! Kama ni kweli apumzike kwa amani,kama ni siasa basi CCM hawana utu hata chembe maana tumeyaona mauaji yameshaanza kutekelezwa Mara huko kwa Wapinzani!!
 
Nimeshtushwa sana na hii habari too sad jamani! R.I.P kamanda
 
Tanzia

Mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Lushoto Mohamed Mtoi amefariki dunia leo akiwa katika harakati za kampeni jimboni humo mara baada ya gari aliyokuwamo kupata ajari.

Mtoi pia alikuwa mratibu wa kanda maalumu CHADEMA taifa,

Mungu alitoa na sasa ametwaa,jina lake lihidimiwe,Rabuka akulaze pema peponi kamanda Mohamed Mtoi.

Nawapa pole wanaCHADEMA wowote popote pale walipo na watanzania kwa ujumla wake kwa msiba huu mkubwa kabisa.

Taarifa hii imethibitishwa na msemaji wa chama taifa kamanda Tumaini Makene

R.I.P
Mtoi
😭😭😪😪😪
 
Tanzia

Mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Lushoto Mohamed Mtoi amefariki dunia leo akiwa katika harakati za kampeni jimboni humo mara baada ya gari aliyokuwamo kupata ajari.

Mtoi pia alikuwa mratibu wa kanda maalumu CHADEMA taifa,

Mungu alitoa na sasa ametwaa,jina lake lihidimiwe,Rabuka akulaze pema peponi kamanda Mohamed Mtoi.

Nawapa pole wanaCHADEMA wowote popote pale walipo na watanzania kwa ujumla wake kwa msiba huu mkubwa kabisa.
Taarifa hii imethibitishwa na msemaji wa chama taifa Tumaini Makene😭😭😪😪😪
 
R.I.P kamanda Mtoi,mchango wako tutaukumbuka sana katika mapambano ya ukombozi dhidi ya nduli ccm.
 
Post yenye kustua mno kuhusu kifo cha mgombea ubunge Lushoto mjini kwa ticket ya UKAWA Kamanda Mohammed Leo jioni imeacha sintofahamu kubwa na mshtuko pia
Kupitia mods na vyanzo vya uhakika tunaomba ukweli na ufafanuzi wa jambo hili
 
Noo nooooo hi haiwezi kuwa kweliii nooooooooooooooo, siwezi aminiiiii........ oh my God what is this happening now
 
Back
Top Bottom