TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Inna Li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.

Inasikitisha sana, jana tu nimetoka kumuulizia humu JF. Nilikuwa sijamsikia siku nyingi.

Allah amsameh, amghufirie na amlaze pema peponi.

Wafiwa wote poleni sana tena sana na wana JF wenzetu poleni sana.

Inasikitisha sana.
 
Aisee,kuanzia leo sitacoment post yeyote ya ccm.....

Naichukia ccm
 
Huu ni msiba mkubwa sana hasa katika kipindi kwa kweli nimehuzunika sana. R. I. P kamanda Mohamed Mtoi
 
Ooooh my God, Mtoi amefariki!! Mungu wangu. Ehe mora please ipokee roho yake. Nimechoka.
 
OMG!!! Mohammed Mtoi??? uwiii siamini. Pumzika kwa amani mate.
 
Inna Li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.

Inasikitisha sana, jana tu nimetoka kumuulizia humu JF. Nilikuwa sijamsikia siku nyingi na siku zote nikimwambia aachane na hao akina Mbowe.

Allah amsameh, amghufirie na amlaze pema peponi.

Wafiwa wote poleni sana tena sana na wana JF wenzetu poleni sana.

Inasikitisha sana.

Ficha upumbavu wako.
 
Inna Li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.

Inasikitisha sana, jana tu nimetoka kumuulizia humu JF. Nilikuwa sijamsikia siku nyingi na siku zote nikimwambia aachane na hao akina Mbowe.

Allah amsameh, amghufirie na amlaze pema peponi.

Wafiwa wote poleni sana tena sana na wana JF wenzetu poleni sana.

Inasikitisha sana.

Una maneno ya shombo sana
 
Ooooh No....

Gone too soon Comrade...

Requiescat In Pace Mohamed Mtoi..
 
Inna Li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.

Inasikitisha sana, jana tu nimetoka kumuulizia humu JF. Nilikuwa sijamsikia siku nyingi na siku zote nikimwambia aachane na hao akina Mbowe

Allah amsameh, amghufirie na amlaze pema peponi.

Wafiwa wote poleni sana tena sana na wana JF wenzetu poleni sana.

Inasikitisha sana.

Uwezo wako unaishia halo?
 
Back
Top Bottom