TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

R.I.P Pigo kwa Chadema na makamanda wapenda mabadiliko wote. Mtoi hakuwahi,hajawahi na hakuwa msaliti. Na alipambana mpaka tone la mwisho la damu yake. Mods kama itawapendeza na kama utaonekana umuhimu uanzishwe uzi maalum kwa ajili ya ku pay tribute kwa Kamanda Mtoi. Tujikumbus hebposts zake muhimu. Pia utaratibu wa kufikisha rambirambi kwa familia yake kama mwana JF.
 
R.I.P....swali langu je ukawa itasimamisha mgombea mwingine au Jimbo limeshachukuliwa Na CCM kiulain.
 
MUNGU akubariki sana ndugu yangu wewe utakayeishi milele

Amin!Waambieni wachagga kafara zimetosha.Chacha Wangwe,Mtoi,Mwangosi.Wajinga ndio waliwao.Mwaka huu lazima Mbowe aongeze jumba jingine DUBAI.Ukweli mchungu....
 
Hapa uhai wa mwanadamu umetoweka.hakuna chenye thamani kama uhai.si uchadema au uccm.
 
R.I.P

Nasi tuliosalia kipindi hiking tukuenzi Kwa mengi Na hata kusambaza Na kukubali kuchagua mabadiliko.
 
Nimelia sana sana, tuliongea juzi. Kwanini afe yeye tu? Hapana aiseee. Nimelia sana tulikua pamoja, Mama yake ndio Mama yangu, familia yake ndio yangu, tukipokuwa shambalai tuliamua kuhamia wote kwenda Magamba school. Why?
 

yaani wewe nyau unatapika hadi msiba unashabekia? Huna ufunguo wa mbinguni? Hatujui saa wala dakika uwezi jua na wewe ujashindwa kushuhudia lowasa akiapishwa funga shimo lako
 
Rip Mtoi.poleni wana ukawa na wanajamii forum kwa kumpteza kamanda wetu mahiri
 
Mungu amrehemu Mtoi jamani, hili sasa ndio pigo kwa CDM/UKAWA, sio wanafiki na wasaliti wakirudisha kadi sijui... hili ni pigo, may his soul RIP. Familia yake ikapate faraja, amani na rehema za Mungu
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…