Kilbark
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 572
- 168
R.I.P Pigo kwa Chadema na makamanda wapenda mabadiliko wote. Mtoi hakuwahi,hajawahi na hakuwa msaliti. Na alipambana mpaka tone la mwisho la damu yake. Mods kama itawapendeza na kama utaonekana umuhimu uanzishwe uzi maalum kwa ajili ya ku pay tribute kwa Kamanda Mtoi. Tujikumbus hebposts zake muhimu. Pia utaratibu wa kufikisha rambirambi kwa familia yake kama mwana JF.
