yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Thats quite normal,Hadi kufika 2040 JF kutajaa ID zilizoandikwa RIP. Inasikitisha ila ndio uhalisia..
RIP mate. On this life or the next ✌️
Mungu ampumzishe kwa amani.Wakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf
View attachment 2340979
View attachment 2340980
M.Byabato
0754527358
Bukoba
jamani poleni sana! Mr. byabato, basi wekeni wasifu wke basi. Kashasha napafahamu sana, Kanyinabushwa, Mbale huyooo Misenyi!Wakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Chanzo cha kifo ni ugonjwa wa Figo
Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf
View attachment 2340979
View attachment 2340980
M.Byabato
0754527358
Bukoba
Unaisha na nani mkuu 🥸🥸Rip wahaya tunazd kuisha Great thinker