Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Chanzo bado hakijafamika ila tutaleta taarifa muda si mrefu tunasubia polisi kufika eneo la tukio ili tupate habari za uhakika zaidi
yaani polis ndo waje wawape taarifa wakati nyie mpo eneo la tukio?. Get serious.........