Mwanachuo wa mwaka wa kwanza SAUT Mwanza amejinyonga leo asubuhi

Mwanachuo wa mwaka wa kwanza SAUT Mwanza amejinyonga leo asubuhi

angeacha memo huyu badala ya kuwapa watu kazi ya kuhoji sababu ya kifo chake
 
Inasikitisha sana,ngoja taarifa za uchunguzi kama zitarudi
 
BIBLIA inasema "Mara tu baada ya kufa ni hukumu" KWA MSINGI HUU HABARI ZA KUMUOMBEA MFU NI KUKOSA UFAHAMU JUU YA UKWELI HUU. Cha msingi kwa kila mmoja wetu ni kila nukta ya muda tuliopewa kuishi hapa Duniani kujipima kama tunaishi sawa na maelekezo ya neno la Mungu atakavyo, ili kama tukikata roho sasa hivi tuwe salama tuendako, GOD BLESS.

Baada ya kufa kwel ni hukumu ila siyo pale utakapo kata tu roho hapana ila ni muda ule ambao Yesu atakapo rudi
 
Back
Top Bottom