Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Jinsia gani?
LABDA KASIKIA ALIYEKUWA anamlambia kafa na drum
BIBLIA inasema "Mara tu baada ya kufa ni hukumu" KWA MSINGI HUU HABARI ZA KUMUOMBEA MFU NI KUKOSA UFAHAMU JUU YA UKWELI HUU. Cha msingi kwa kila mmoja wetu ni kila nukta ya muda tuliopewa kuishi hapa Duniani kujipima kama tunaishi sawa na maelekezo ya neno la Mungu atakavyo, ili kama tukikata roho sasa hivi tuwe salama tuendako, GOD BLESS.