mood offShemale is somebody born as a man and became a woman, no matter she does or doesn't has a penis. On the case of Semenya things are totally different... Okay umesema unasikia. Ndio maana ninakwambia Semenya data zake zipo kwenye internet kwanini ukae kusikia Tu? Google.
Sasa tusemeje best wacha tu mambo mengine.tuwe wapitaji mweeeehMmmh..really?
[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji102] [emoji102]Waache waoane wanaume wenyewe wako wapi
Matokeo ya uchunguzi yalimkuta ana uke, na hivyo hana uume, hana mayai ya kike ila ana kokwa za kiume (ambazo hazikuweza kushuka chini kuwa pumbu). Kokwa hizi zinatoa kichocheo cha tetratrone ambayo inampa Caster ujasiri wa kiume kutokea ndani lakini kwa umbile huko chini ni mwanamke hana uume na hakojoi shahawa na hivyo hawezi kutia mimba!!! Nawasilisha!ina mana ana two sex organs???
Ohooo!!kuna jamaa mmoja alisema demu wake ana maku nne zote zipo mapajani
Mkuu hapa umetutia chaka...Shemale is somebody born as a man and became a woman, no matter she does or doesn't has a penis. On the case of Semenya things are totally different... Okay umesema unasikia. Ndio maana ninakwambia Semenya data zake zipo kwenye internet kwanini ukae kusikia Tu? Google.
Kwa sababu ya mtu wa South Africa Mwisho wa Ardhi?du kwel mwisho wa dunia unakaribia...
semenya alikutwa na jinsia mbiliTupe chanzo cha habari yako umepata wapi kuwa ana jinsia mbili? Maana ninachokumbuka ni kuwa report haikusema chochote kuhusu hili.
Mkuu hapa umetutia chaka...
Bonge la chaka duhMkuu hapa umetutia chaka...
Wanaweza wakawa na bwana wa tatu ambae ni msiri...akawa anawacharaza wote....hana penis, nadhani hapo ni mkono tu unatumika, kuna toys pia