Mwanadada Witness naona kaanza kufata nyendo za Gigy na Amber Lulu

Mwanadada Witness naona kaanza kufata nyendo za Gigy na Amber Lulu

Sio huyu mkuu, yule ni Shaa jina lake kamili sijui nani. Huyu alikuwa anachana mistari fresh, aliolewa sijui alizaa nae mzungu flani, labda mzungu kamtosa au kachoka au ndio anaempiga picha wanafanya sanaa flani ya picha. Hizo picha ni balaa hasa kwa zama hizi ambazo hadi wazungu wanashindana kuwa na hilo furushi la nyanya masaro a.k.a makinikia. Si unawaona akina Kim kardashian, Igy Azalea, Jennifer Lopez, Rosa Acosta, Amber Rose, n.k.
yap...aliolewa Sweden huyu na mzungu
 
du huyu mnyaki mtamu ningempata huo moto ntakaompelekea hatar
 
Kwa kweli kuwa a star Bongo ni shida tupu.....mademu wako so useless, yet wanajiona baaaab kubwa wakati they are nothing. Hata wa bure sichapi, si Amber Lulu, Giggy, au hata haka.
 
Back
Top Bottom