Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

Na lengo la kuleta dini kutawala na si kwamba walikua wazuri sana wa kutaka sisi waafrika tukale bata huko wakoita peponi..thats why wachina leo wako mbali kiuchumi sababu ya misingi iliyowekwa na Mao siku hizo hakutaka kusikia watu wake wanaambiwa habari ya "kwa neema"...yeye aliamini mtu atapata gud tym kwa juhudi zake mwenyewe!!!!alichinja sana wamisionari...!!!

Maendeleo ya China hayana tofauti na Ujerumani ya Hitler,Urusi ya Gorbachev,USA ya sasa,himaya ya Ottoman,Rumi,Babel n.k.Yote hayo yapo kwa sababu maalum na sio unavyodhani wewe!
 
Sheria ni kitu ch akuchekesha sana.Ukiheshimu sheria 100%huna space ya kuzuia hata kitu kinachoumiza jamii.Ndio maana ulaya seria inatumika watu wanashindwa zuia mashoga kupeta kihivyo.Halafu kesho yake wanakuja kuhubiri mwanao ushoga wao.Hakuna cha Padri wala shehe, wala mchungaji anaweza zuia hilo, na kanisa linalokataza linaweza futiwa leseni kwa kutoheshimu haki za binadamu(mashoga).Waarabu wameweza kwa vile kwao kuvunja na kuweka sheria sio kazi.Ndio sheria zao zinachagua wa kuzifuata.Wafalme hawazifuati labda siku wakionja ya ghaddafi.

Mungu naye ili awe mwema na wa haki inabidi aheshimu sheria alizoziweka mwenyewe.

Hata huko kuziheshimu "alipanga" yeye kwakuwa anajua yote hata yajayo.
Kwake hakuna ajari, "kila kitu" ni mpango na kinafuata order.
 
Hata huko kuziheshimu "alipanga" yeye kwakuwa anajua yote hata yajayo.
Kwake hakuna ajari, "kila kitu" ni mpango na kinafuata order.

Huenda tatizo ni namna ambavyo tunamtafsiri Mungu.Nijuavyo mimi,Mungu hajaumba kila kitu ila ameumba source ya vyote,mfano,Mungu amemuumba mwanadamu lakini hajayaumba matendo yake mwanadamu,hivyo Mungu hahusiki na matendo ya mwanadamu!
 
Hata huko kuziheshimu "alipanga" yeye kwakuwa anajua yote hata yajayo.
Kwake hakuna ajari, "kila kitu" ni mpango na kinafuata order.

Labda hatutalewana jinsi ya kulitumia neno "kuziheshimu", kuweka sheria na kuziheshimu ni kupanda ndio na kunathibitisha kuwa sheria ulizoweka hazina ubaguzi na zinatekelezeka.

Ila "wadau wengine", bado wana mapungufu yanayopelekewa na tamaa zao, nia zao na madhaifu mengine kutozifuata.Kwa hiyo hata Mungu akijua hana nafasi ya kumzuia mtu kutozifuata, au hata kumfuata shetani.

Labda tuu kukuongezea .Kwanza jua kila kitu ni mali ya Mungu,na kila kilichopo ndani yake.Kwa hiyo sheria za Mungu ndizo sheria kuu.Sasa yeye ndio anayepaswa kuwa na "upendo","kuheshimu sheria" "kutenda haki" .Kumtoa shetani patakatifu lazimaampatie pwa kwenda na si lazima apafanya full furnished kwani si haki ya shetani.sasa binadamu kwa uhuru kama amepaon kuwa gheto ni zuri "Mungu hawezi mzuia hata kama alijua hilo", na hata kama Mungu anao uwezo wa kumprogramme binamu kinyume,isingekuwa sahihi kufanya hivyo kwa kiumbe alichokiumba na kukipa uhuru hata wa kujiangamiza.Huo ndio utawala wa sheria na ndizo concepts zilizopelekea kujengwa kwa western democracy and the rule of law.

Kwa wanaoweza chambua jibu la Yesu "....mpe kaisary yaliyo ya kaisary na ya Mungu yaliyo Mungu...".Wala hakupinganza na sheria,ila kwa lugha nyingine ni kwamba kaisary nae ni mali ya Mungu.Yaani wewe kuwaamuru watu wampeleke Ng`ombe wako katik banda lake , na wewe unakwenda katik banda(nyumba), yako hakumaanishi kuwa lile banda ni lango kwa umiliki,ila kwa hifadhi, na vyote pamoja ni vyako.Yule ng`ombe anahitaji kuwa na hivyo vitu kwa mendeleo yake.
 
Acha tu mungu kuwa nafsi hai, wenzetu wanasema ziko 3 katika mungu mmoja.
Sidhani kama kuna kitu kinapingana na logic hapa.Tatizo ni wewe katik mindset yako huna space ya kuona vitu vilivyo nje ya common sense.Dunia ina vitu vingi sana vya ajabu ambavyo havielezeki tena kupitia hizi chemistry na physics wanazoziita classics.wakati watu wengi wakidhani kuwa ngono ni lazima au hata kuwa na mwenza ni lamiza tayari sayansi inaonyesha kuwa ngono kwa baadhi ya viumbe imewekwa kama motivation ya kuzaana na kuweka wazazi pamoja kulea uzao wao.Sidhani kama Mungu nahitaji ngono.

Neno la Mungu lina Umba na si tuu lina uhai ila linatoa uhai.Na hivyo sifa ya kuwa sehemu nyingi kwa mara Moja inamruhusu kuwa sehemu husika na kufanya yahusuyo hapo katik context husika.Na hii kufanya huo uwepo uwe very independent.Imagine moto ungekuwa haufi. Moto wa blue, mwekundu au hata wa njano haumaanishi kuwa si mote.Ukichukua moto toka katik moto mmoja ukaanzisha mwingine,halafu huo moto ukizimika haimanishi ule moto uwakao katik makundi nao utazimika/kufa, na hata ule uliokufa pia unaweza rudishwa kwa kuleta mwingine toka katika source ya mwanzo.

Ili kuwa thinker lazima uwe na set za axioms utakazo tumia jenga misingi ya reasoning.Sasa nadhani wengi hamjazisoma ndio maana hamuwezi fikia mwisho sahihi.
 
But still hiyo christian theology ni histiria ile ile ya kwenye biblia ambayo hamuielewi...na pia nafikiri lengo la Mungu kujitambulisha kwa mujibu wa hiyo unayoiita christian theology ni kufahamika kwa watu wake na unaposema lazima awe very complex kiasi cha kutofahamika na mwanadamu naona kama unajichanganya naomba tulia vizuri utafakari tena kwa kina...Mungu sio Muuza sura kwamba ajitokeze kwa lengo la kutambulika then tena awe very complex kutambulika,kama angetaka kutofahamika angekausha tu huko huko alikokua ili aendelee kua complex.

Hakuna theology au philosophy au sheria ambazo hazina misingi ambayo lazima ikubaliwe.na hiyo lazina ibase katik universal axioms.

Ndugu yangu kama ungekuwa unaujua ukristu kwa misingi sahihi, usingehata poteza muda kusimamia hili.kuna neno REVELTION...na hapo ni kuwa mungu amejionyesha kwetu, na sidhnai kama alihitaji jionyesha kwa kila kitu?Kwani vingine tungehitaji misaada mikubwa sana ili kupata uwezo wa kuona na kuelewa.Mfano Mungu aliwap watu ufahamu wa uwepo wa roho,je nani kaweza iona au hata kuweka sifa zote za roho?

Pia kuna vitu kuvijua ni too damaging kwa level yetu.Mfano ukiambiwa angalia jua, au kumwonyesha mtoto mdogo jinsi ngono ilivyofanyika mpaka akazaliwa.

kukonyesha kuwa tatizo ni wewe kukosa universal axioms zaidi.Ndipo utakajua ni kwanini wansayansi wanaotaka tengeneza robots zitakazoweza fanya vitu kama binadamu,walivyofika mahalai na kukuali kuwa kwa uelewa binadamu hawezi tengeza computer ya namna hiyo. sasa wameamua kutengeneza robot kwa ajili ya kazi maalumu tuu.Na hii haihusu kuwa na "fikra "
 
Na lengo la kuleta dini kutawala na si kwamba walikua wazuri sana wa kutaka sisi waafrika tukale bata huko wakoita peponi..thats why wachina leo wako mbali kiuchumi sababu ya misingi iliyowekwa na Mao siku hizo hakutaka kusikia watu wake wanaambiwa habari ya "kwa neema"...yeye aliamini mtu atapata gud tym kwa juhudi zake mwenyewe!!!!alichinja sana wamisionari...!!!

Umeptoka sana.Hata kama dini zilikuja tumika kwa lengo la kutawala lakini haikuwa initial idea.Wewe ni mmojawapo ya watu wanaoamini kuwa Ukristu ni tuna la Mzungu.Ukristu haukuanza kwa mzungu.Mzungu kaupata Ukristu kama vile mtu wa rangi nyingine.hakuna Mtume alikuwa mzungu,walikuwa wayahudi,na baadaye ugirikiri, na Roma ndipo ulipopata nguvu ya kifikra na kijeshi.Nguvu ya Kifikra toka kwa wasomi wa Kigiriki, na nguvu ya Dola toka kwa taifa kubwa la Roma.Ndipo wakastaarabisha ulaya, na hivyo ulaya wakashika jukumu la kuuendeleza.

Kuhusu China kasome na kuuliza wanaojua.China communism ni gurudumu la kuhimiza zaidi, mandeleo ya China kisayansi yalianzia kwa kajirani zao Japan(nao walipa toka US), Taiwan,hong kong, macau ,korea kusini ambao walikuwa ni viwanda vya nchi za magharibi.

Kaulize wanaongoza nakumiliki uchumi wa china,hong kong, taiwan, south korea ni nani?Asilimia kubwa ni Wakristu tena walokole.Ingawa idadi yao kulinganisha na Wabudha au godless ni mdogo sana.Huyo mao ni wale wakomunnisty wanamshikilia kwa vile ndio tegemeo lao n ndio wapo wengi n ahivyo kulamizimisha hawa wengine wafate communisty rule.Hawa wengine wanapiga downlow ili life liendelee.
 
Nicholas umeimaliza kabisa evolution.But unafaham kuwa wanasayansi wanadai evolution is no longe a theory is fact?Wanadai imethibitishwa binadamu hajaumbwa tena kwa ushahidi wa DNA, Kiranga ataweza nisaidia hili kwa ufafanuzi.Wanadai,Man is a result of 4 billion years of evolution,intelligent man is about 40,000 years old and as a civillized creature is barely 4,000(approximately)years old.Wanasema kipindi hiki cha miaka 4000 ndipo story za Mungu zilipoanza kusikika!Sasa hawa jamaa wanapodai ni fact wanamaanisha nini,na kama mabaki ya safina yamepatikana inaonekana evolution sio fact any more!

hata mtu rahisi anaweza fiki kama evolution ingekuwa real basi pangekuwa na miafano mingi hai ya viumbe ambao wangekuwa njiani kueleke walipo wengine.Angalau tungekuwa na nyani wanaongea.pamoja na kuwepo karibu na binadamu kwa miaka yote bado zoezi la wao kuhamia stage nyingi halijafanikiwa.Na pasingekuwa na viumbe kutoweka.
 
hata mtu rahisi anaweza fiki kama evolution ingekuwa real basi pangekuwa na miafano mingi hai ya viumbe ambao wangekuwa njiani kueleke walipo wengine.Angalau tungekuwa na nyani wanaongea.pamoja na kuwepo karibu na binadamu kwa miaka yote bado zoezi la wao kuhamia stage nyingi halijafanikiwa.Na pasingekuwa na viumbe kutoweka.

A common misconception among people who do not understand evolution is that it has a certain defined chart - other than increased complexity.

Kwa nini unafikiri kwamba nyani wanatakiwa ku evolve towards kuongea (I presume kama binadamu), na sio ububu?

Na wewe kama hujui lugha ya nyani utajuaje kwamba lugha yao ime evolve katika miaka 10,000 iliyopita?

Au ulitaka uone nyani wa Saadani wanaanza kusema Kiswahili polepole?
 
Nicholas umeimaliza kabisa evolution.But unafaham kuwa wanasayansi wanadai evolution is no longe a theory is fact?Wanadai imethibitishwa binadamu hajaumbwa tena kwa ushahidi wa DNA, Kiranga ataweza nisaidia hili kwa ufafanuzi.Wanadai,Man is a result of 4 billion years of evolution,intelligent man is about 40,000 years old and as a civillized creature is barely 4,000(approximately)years old.Wanasema kipindi hiki cha miaka 4000 ndipo story za Mungu zilipoanza kusikika!Sasa hawa jamaa wanapodai ni fact wanamaanisha nini,na kama mabaki ya safina yamepatikana inaonekana evolution sio fact any more!

Billions of years?

Why billions and not millions, trillions, or hundreds of thousands?
 
Nyani Ngabu unanionea kuniuliza hilo swali,nadhani wanaoijua evolution ndo wanaweza kujibu hilo swali kuwa kwanini ikawa billion na isiwe trillion,mi nimekopi kilichoandikwa kwenye tafiti zao sijui sana,labda wenye ufahamu na hiyo kitu kama akina Kiranga na Kichuguu wanaweza kutoa jibu litakaloleta maana!
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu unanionea kuniuliza hilo swali,nadhani wanaoijua evolution ndo wanaweza kujibu hilo swali kuwa kwanini ikawa billion na isiwe trillion,mi nimekopi kilichoandikwa kwenye tafiti zao sijui sana,labda wenye ufahamu na hiyo kitu kama akina Kiranga na Kichuguu wanaweza kutoa jibu litakaloleta maana!

The answer is, because the billion range is commensurate with our current advancement and consistent with available scientific theories.

Facts are mythical creatures -in fact forbidden by quantum pertrubations at a certain level of existence-, we could only aim at better calibrating available theories.
 
The answer is, because the billion range is commensurate with our current advancement and consistent with available scientific theories.

Commensurate in what way(s)?

And is it one billion? two billion? one hundred billion? or just billion?
 
Commensurate in what way(s)?

And is it one billion? two billion? one hundred billion? or just billion?

Consummerate timewise.

And when considering "binadamu" one may need to further specify on whether they are referring to the specific evolution of our species as it is now or the evolution of our species from the beginning of life.

And be modest enough to note that there is a lot of unclear things still being researched when it comes to the details, but the overall picture, that evolution is more or less as close to factual as any major acceptable scientific theory, is established.
 
Consummerate timewise.

And when considering "binadamu" one may need to further specify on whether they are referring to the specific evolution of our species as it is now or the evolution of our species from the beginning of life.

So do you concede that that 'billion' number is an estimate?
 
So do you concede that that 'billion' number is an estimate?

Slow down son, I didn't even get into the calibration of this whole demonstration.

If you know my philosophy - and understood what I meant by "forbidden by quantum perturbations" above-, everything, including this answer, is an estimate.

Tell me one thing that is not an estimate.

Mapinduzi Daima kama SMZ!
 
And be modest enough to note that there is a lot of unclear things still being researched when it comes to the details, but the overall picture, that evolution is more or less as close to factual as any major acceptable scientific theory, is established.

I can appreciate that...
 
Consummerate timewise.

And when considering "binadamu" one may need to further specify on whether they are referring to the specific evolution of our species as it is now or the evolution of our species from the beginning of life.

And be modest enough to note that there is a lot of unclear things still being researched when it comes to the details, but the overall picture, that evolution is more or less as close to factual as any major acceptable scientific theory, is established.

Nyani Ngabu hates all scientific theories: speak of photosynthesis or gravity and you will hear his noise. All he believes in is some bogus creation called "Intelligent Design"
 
Nyani Ngabu hates all scientific theories: speak of photosynthesis or gravity and you will hear his noise. All he believes in is some bogus creation called "Intelligent Design"

Tout au contraire!

I am a huge science enthusiast. But, at the same time I acknowledge its limitations.

So I reckon it's this acknowledgement that I manifest in the form of asking provocative questions that makes you think I dislike scientific theories.

Not at all.

If anything science deserves a whole lot of credit for even attempting to explain from whence is our origin.

There is no dogma in science. No one can accuse me of blasphemy if I dispute the theory of evolution.

But dare question the existence of god and see what happens to you.

In some places your head would be put on a chopping block!!!
 
Back
Top Bottom