griffin griffith
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 549
- 442
Wapi alisema yeye ni mungu?Ndo maana Yesu alisema yeye ni Mungu....Then mtu anakurupuka kusema haiwezekani Yesu akawa Mungu...hyo inayoitwa Mungu unaielewa vizuri???Tatizo tunaogopa kudadisi nadharia ya Uungu kwa sababu dini zetu nyingi zinasema ni kufuru...check kwenye google verse za Tao Te Ching by Lao Tzu.
Hii concept ya kiroho haina tofauti na ile ya kusema amini vitabu vyake, malaika wake, amini siku ya mwisho.Yesu sio mtume, ni mwana wa Mungu alie hai. Ni Mungu mwana, ambae ni Neno la Mungu. Kasome Yohana 1: 1 inasema "Hapo mwanzo palikuwapo Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu". Soma mpaka mstari wa tatu. Kama hutalielewa hili neno omba mtu anaejua akutafsirie, kwani tatizo la watu wengi wanasoma neno la Mungu bila kulielewa. Kuelewa neno la Mungu unahitaji akili za kiroho, hivyo ni budi kusali kwanza Mungu akufunulie maandiko ndipo usome. Usisome neno la Mungu bila kusali kwanza.
Mkuu na huo ndio udhaifu mkubwa...akohi,sababu zinatofautiana kutoka mtu mmoja kwenda mwingine.Kuna wengine wameathiriwa na mapokeo ya kimafundisho,yaani anaposoma maandiko anayatafsiri kwa mujibu wa namna alivyofundishwa kuitafsiri biblia,wengine uwezo mdogo wa kufikiri n.k.Lakini yote katika yote tunarudi palepale kwenye namna ya kuutumia uwezo wa akili yetu!
Hivi agano ukilivunja wewe ndio linakuwa limevunjwa na your siblings??haha..nadhani hujanielewa kwa vile nimeweka mambo mengi.Labda tuu nikuulize perfection ya Mungu inahusiana vipi na mapungufu ya binadamu,mwenye uhuru na kiburi?(mojawapo za roots of evil ni greed, pride,).Huko kuwa perfect ndioko kunamfanta ashindwe ishi na evil.Na kama ni huruma Mungu kafanya Huruma sana kwa binadamu, kafanya maaganao mengi sana nao,ila binadamu kayavunja,bado yeye ndiye anayekuja kututafuta na kuanza tena mengine.
Kukasirika kwa haki si kosa ila ni ukamilifu.Nadhani mara nyingi umeshaona watoto wakililia haki ya kupewa urithi wao, na uhuru wa kutumia wapendavyo, wazai wanaona kabisa mwanao hawezi kutumia hizo mali kwa busara ila hawawezi vunja sheria na kumnyima au hata kumyima uhuru.Ila baadaya wanasikia mwano kawekwa ndani kwa kupigana baa, kaleta hasara na pengine kaua mkewe.Sidhani kama hutokuwa na hasara.Je unadhani hata kama unajua kuwa mwanao hawezi yatazama maisha,nin utafanya kwa haki wakati mwanao mwenyewe hajui kuwa baada ya hapo mambo yatakwenda mwaribikia kabisa?Na hata kama anajua ila kayapenda hayo maisha, na akakuambia kwanini unamhukumu na hujaona akikosea utamjibu nini?Huwezi mhukumumu mtu kabla hajatenda ,hata kama unajua akitenda atasababisha hasara kubwa.Watu wana abuse sheria makusudi, hujaona watu hawaheshimu sheria ikiwabana,ila wanaitumia ikiwa inawasaidia?mahakama haiwezi sema sikupi sheria kwa vile huitambui.
Unahoji ni kwanini Mungu angeumba binadamu kama roboti halafu hapo hapo unahitaji uwe na uwezo wa kuchagua mambo....Mkuu na huo ndio udhaifu mkubwa...
Kama Mungu alitaka sisi tusitofautiane basi hasingetumia njia hii ambayo ina mikanganyiko chungu nzima, na hii kwa mtazamo wangu naona kwamba yanayosemwa yanamcontradict huyo Mungu..... Kwenye hili Mungu hana cha kumlaumu binadamu kwamba kwanin hakumuamini kupitia quran au biblia .
Ni kwanin usingetumika utaratibu wa kumjua Mungu uwe ni kama vile wa kwenda haja, tungezaliwa ubongo wetu ukiwa tayari na informations za kumuhusu yeye..
Kinyume cha hapo kitendo cha kuamini Mungu kinakuwa ni option kwani whether unamuamin au haumuamini tutaishi na kufa wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi twende hivi hivi... Ila mfumo huu wa namna hiyo umeshafeli mkuu.Unahoji ni kwanini Mungu angeumba binadamu kama roboti halafu hapo hapo unahitaji uwe na uwezo wa kuchagua mambo....
Nani anajikinza sasa hapa?
Mengine hata tukijadiliana hapa hatutaelewana kamwe....
Mfumo huo wa kutumia scriptures kuwaambia watu waamini kwamba huo ndio ukweli ulio wazi kutoka kwa Mungu.Mfumo upi mkuu?
Umefeli namna gani?Mfumo huo wa kutumia scriptures kuwaambia watu waamini kwamba huo ndio ukweli ulio wazi kutoka kwa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiasi kwamba watu wanaona Mungu wa upande wao ni bora kuliko Mungu wa upande mwengine...(kuna mgawanyiko baina ya makundi ya watu na wengine wako radhi wamwage damu ili kumtetea Mungu wao)Umefeli namna gani?
Tatizo ni freedom tuliyodai km Tanzania walivyodai uhuru.Hadi sasa wanaona manyota,bado wanapambana kujiita wapo huru.Mkuu na huo ndio udhaifu mkubwa...
Kama Mungu alitaka sisi tusitofautiane basi hasingetumia njia hii ambayo ina mikanganyiko chungu nzima, na hii kwa mtazamo wangu naona kwamba yanayosemwa yanamcontradict huyo Mungu..... Kwenye hili Mungu hana cha kumlaumu binadamu kwamba kwanin hakumuamini kupitia quran au biblia .
Ni kwanin usingetumika utaratibu wa kumjua Mungu uwe ni kama vile wa kwenda haja, tungezaliwa ubongo wetu ukiwa tayari na informations za kumuhusu yeye..
Kinyume cha hapo kitendo cha kuamini Mungu kinakuwa ni option kwani whether unamuamin au haumuamini tutaishi na kufa wote.
Sent using Jamii Forums mobile app