- Thread starter
- #21
Niliwahi kuona Rafiki amemtendea WEMA Jirani yake,
Jirani huyo alikopa pesa bank na kuweka nyumba pekee ya familia rehani,
Aliposhindwa kulipa, Bank walitangaza mnada, Rafiki wa Jirani aliyekopa alivyosikia hivyo, alimpigia kaka yake aliyekuwa na uwezo na kumwomba amsitiri Jirani yake na fedheha Kwa kununua nyumba Ili analizane na bank Kisha aje kumrudishia nyumba Jirani yake akimaliza kulipa Polepole.
Siku ya mnada ulipofika, jamaa akanunua nyumba kimya kimya bila mkopaji kujua,
Baada ya bank kulipwa pesa Yao,
Jamaa Akaenda Kwa Jirani yake na kumwambia sisi ndio tulionunua nyumba Yako, tunakupa muda ulipe pesa Ile tuliyowalipa bank, Kisha nyumba Yako tutakurudishia.
Jamaa alilipa Polepole mkopo Ule Kwa miaka zaidi ya kumi na kufanikiwa kurudisha nyumba yake.
Niliona ubinadamu wa mtu yule Kwa UKWELI.
Na huo ndio unaitwa urafiki wa Kweli.
Ni kumfaa mtu wakati wa DHIKI.
Sasa ikiwa wewe umewahi kumkopesha maskini na kumnyanyasa, ukadiriki hata kumnyanganya godoro pekee analotumia kujisitiri na mkewe na watoto, Rudi UPYA kujitafakari.
Ubarikiwe kama pia umewahi kumfaa ndugu, jamaa au hata mtu usiyemfahamu wakati wa DHIKI yake.
Aamen.
Jirani huyo alikopa pesa bank na kuweka nyumba pekee ya familia rehani,
Aliposhindwa kulipa, Bank walitangaza mnada, Rafiki wa Jirani aliyekopa alivyosikia hivyo, alimpigia kaka yake aliyekuwa na uwezo na kumwomba amsitiri Jirani yake na fedheha Kwa kununua nyumba Ili analizane na bank Kisha aje kumrudishia nyumba Jirani yake akimaliza kulipa Polepole.
Siku ya mnada ulipofika, jamaa akanunua nyumba kimya kimya bila mkopaji kujua,
Baada ya bank kulipwa pesa Yao,
Jamaa Akaenda Kwa Jirani yake na kumwambia sisi ndio tulionunua nyumba Yako, tunakupa muda ulipe pesa Ile tuliyowalipa bank, Kisha nyumba Yako tutakurudishia.
Jamaa alilipa Polepole mkopo Ule Kwa miaka zaidi ya kumi na kufanikiwa kurudisha nyumba yake.
Niliona ubinadamu wa mtu yule Kwa UKWELI.
Na huo ndio unaitwa urafiki wa Kweli.
Ni kumfaa mtu wakati wa DHIKI.
Sasa ikiwa wewe umewahi kumkopesha maskini na kumnyanyasa, ukadiriki hata kumnyanganya godoro pekee analotumia kujisitiri na mkewe na watoto, Rudi UPYA kujitafakari.
Ubarikiwe kama pia umewahi kumfaa ndugu, jamaa au hata mtu usiyemfahamu wakati wa DHIKI yake.
Aamen.