Mwanadamu, ujasiri wa kumnyang'anya godoro masikini unayemdai umeupata wapi?

Mwanadamu, ujasiri wa kumnyang'anya godoro masikini unayemdai umeupata wapi?

Mi naomba nitofautiane na wachangiaji wengine. Kusaidia wahitaji ni jambo jema, huleta baraka na kuna furaha katika kuchangia kupunguza ugumu wa maisha. Tatizo Afrika au niseme jamii zetu hizi msaada ni haki yao, watu wanadhani una wajibu wa kuwasaidia kwa sababu unacho kitu ambacho sio sahihi.
Mwisho ukikopa lipa. Mkiwa mnakopa mnakua na sura za upole,ukidaiwa unaona ka vile unagawa hela bure kumbe ni haki ya mtu.
Nadhani wanaokopesha waangalie ni nani wanampa pesa kwa sababu wakopaji wengi hawalipi (hasa ndugu). Kopesha ka mtu yuko mahututi asipopata hio hela atapoteza uhai au ataenda jela, kinyume na hapo atembelee taasisi za kifedha.
KATAA MADENI!
MSAADA SIO HAKI YAKO!
KAMA WE HUNA WENGINE PIA WANAWEZA KUWA HAWANA!!
TUNZA. LINDA. OKOA KIBUNDA!!
U may be right,

Nimewahi kushuhudia mtu mmoja tajiri alipokufa, usiku Ule Ule mwili ukiwa ndani ya nyumba,

Ndugu wa marehemu waliokuja na kuchukua ATM card ya marehemu na kuomba password ya Mke wa marehemu Ili kuhudumia Maziko,walipopewa,

Ndugu wale walikomba pesa zote na kutokomea,

Ukazuka mzozo wa ndugu na mwili hata kuzikwa Bado.

Nakushauri, saidia kilicho ndani ya uwezo wako, usikopeshe kama huna uvumilivu.

Mungu atubariki.
 
Salaam,Shalom!!

(Mithali 19:17)
Akopeshaye maskini, humkopesha BWANA.

Mungu anachukia sana Umaskini, lakini anawapenda sana maskini,

Mungu ndiye hufukarisha, na ndiye hutajirisha!!

Maskini wa Leo ni tajiri kesho, maana Mungu ndiye huwapandisha maskini na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwashusha wenye viburi.

Mungu amekuwa akikemea sana kuwaonea maskini, hapendi waonewe Wala kuvunjiwa Heshima Yao, kuwachokoza maskini na wajane na yatima ni kugusa mboni ya jicho la Mungu.

Hivi unawezaje kumnyang'anya godoro pekee analolalia maskini baada ya kukopa pesa ya kununulia chakula Kwa ajili ya familia yake,Ujasiri huo umeutoa wapi, watoto wa maskini watajisikiaje kuona baba Yao ananyanganywa godoro pekee la kulalia?

Ujasiri wa kwenda kumpora kanga au kitenge alichojifunika Jirani Yako Kwa sababu ameshindwa kukulipa deni lako unautoa wapi?

Maskini amekuja kwako anakuomba umkopeshe unga Ili akampikie mgeni wake aliyefika usiku huo, unampa Kwa masharti ya kukulipa siku mbili zijazo, Kwa Bahati mbaya, anashindwa kutimiza AHADI yake, ujasiri wa kwenda nyumbani kwake na kuchukua sufuria pekee analotumia kupikia chakula umeutoa wapi?

Mungu Toka juu, anakuangalia, anakudai pesa kiasi Gani Kwa kutolipa ZAKA, mbona hajawahi kukudhalilisha?

Tangu Leo, jifunze kubariki maskini,

Ukimkopesha maskini na akashindwa kulipa, mpe Muda atakulipa atakapopata, kamwe usimdhalilishe. Mungu atakufungulia mlango wa kupata pesa bila kudhalilisha binadamu mwenzio.

Mungu na awabarikie wote wasaidiao binadamu wenziwe, hiyo ndiyo IBADA na DINI ya KWELI.

Aamen
Mithali 22:7
Tajiri humtawala maskini,
Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.

Pia pitia kumbukumbu la torati linasemaje utaona hutakiwi kumuonea huruma kabisa uliyemkopesha😁

Kumbukumbu la Torati 28:13-15,44
[13]BWANA atakufanya kuwa kichwa, wala si mkia; nawe utakuwa juu tu, wala huwi chini; utakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wako, nikuagizayo hivi leo, kuyaangalia na kufanya;
[14]msipokengeuka katika maneno niwaamuruyo leo kwa lo lote, kwenda mkono wa kuume wala wa kushoto, kwa kuifuata miungu mingine na kuitumikia.
[15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.

44)Yeye atakukopesha, wala wewe usimkopeshe; yeye atakuwa ni kichwa, wewe utakuwa mkia.
 
Mithali 22:7
Tajiri humtawala maskini,
Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.

Pia pitia kumbukumbu la torati linasemaje utaona hutakiwi kumuonea huruma kabisa uliyemkopesha😁

Kumbukumbu la Torati 28:13-15,44
[13]BWANA atakufanya kuwa kichwa, wala si mkia; nawe utakuwa juu tu, wala huwi chini; utakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wako, nikuagizayo hivi leo, kuyaangalia na kufanya;
[14]msipokengeuka katika maneno niwaamuruyo leo kwa lo lote, kwenda mkono wa kuume wala wa kushoto, kwa kuifuata miungu mingine na kuitumikia.
[15]Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.

44)Yeye atakukopesha, wala wewe usimkopeshe; yeye atakuwa ni kichwa, wewe utakuwa mkia.
Mithali 19:17

Amhurumiaye maskini, humkopesha BWANA.

Pia usisahau, Mungu ndiye hutajirisha na kufukarisha vile vile,

Maskini Kwa dhambi na kutotii, hupewa shuluba na kutawaliwa na tajiri Ili ajifunze.

Tajiri vile vile, asidhani maskini atakuwa pale forever, ni kama tu gwaride, nyuma geuka, wa mwisho anakuwa wa kwanza.

Kuwa tajiri Leo, Si Kwa uwezo wako, ni neema Umepewa Kwa muda, ni umewekwa ktk jaribu.
 
Kumjua Mungu, ndicho chanzo Cha HEKIMA na Maarifa na ufahamu.
 
Salaam,Shalom!!

(Mithali 19:17)
Amhurumiaye maskini, humkopesha BWANA.

Mungu anachukia sana Umaskini, lakini anawapenda sana maskini,

Mungu ndiye hufukarisha, na ndiye hutajirisha!!

Maskini wa Leo ni tajiri kesho, maana Mungu ndiye huwapandisha maskini na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwashusha wenye viburi.

Mungu amekuwa akikemea sana kuwaonea maskini, hapendi waonewe Wala kuvunjiwa Heshima Yao, kuwachokoza maskini na wajane na yatima ni kugusa mboni ya jicho la Mungu.

Hivi unawezaje kumnyang'anya godoro pekee analolalia maskini baada ya kukopa pesa ya kununulia chakula Kwa ajili ya familia yake,Ujasiri huo umeutoa wapi, watoto wa maskini watajisikiaje kuona baba Yao ananyanganywa godoro pekee la kulalia?

Ujasiri wa kwenda kumpora kanga au kitenge alichojifunika Jirani Yako Kwa sababu ameshindwa kukulipa deni lako unautoa wapi?

Maskini amekuja kwako anakuomba umkopeshe unga Ili akampikie mgeni wake aliyefika usiku huo, unampa Kwa masharti ya kukulipa siku mbili zijazo, Kwa Bahati mbaya, anashindwa kutimiza AHADI yake, ujasiri wa kwenda nyumbani kwake na kuchukua sufuria pekee analotumia kupikia chakula umeutoa wapi?

Mungu Toka juu, anakuangalia, anakudai pesa kiasi Gani Kwa kutolipa ZAKA, mbona hajawahi kukudhalilisha?

Tangu Leo, jifunze kubariki maskini,

Ukimkopesha maskini na akashindwa kulipa, mpe Muda atakulipa atakapopata, kamwe usimdhalilishe. Mungu atakufungulia mlango wa kupata pesa bila kudhalilisha binadamu mwenzio.

Mungu na awabarikie wote wasaidiao binadamu wenziwe, hiyo ndiyo IBADA na DINI ya KWELI.

Ikiwa Bado hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala ifuatayo;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU.

Aamen
Amen [emoji120] mtumishi
 
Back
Top Bottom