zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Yes Apo kina Fa tayari walikua wameshagraduate midaGK akigraduate na wanae wa kitambo Mzee wa commercial na binamu wamekuja kufurahia naye
View attachment 2563494
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Apo kina Fa tayari walikua wameshagraduate midaGK akigraduate na wanae wa kitambo Mzee wa commercial na binamu wamekuja kufurahia naye
View attachment 2563494
Watanzania wengi wana chuki sana na watu wanaofanikiwa kwa kuwa mnawafahamu kidogo mtashinda mitatandaoni kuwachafua tuu mnachopenda ni kuona anapata tabu kama wewe harafu uandike uzi wa uongo kuonyeshwa kuguswa na tabu zake kumbe unatupakia rangi tuu huku moyoni mwako ukifurahia wapo wanaomchukia Diamond kisa wanamjua toka alivyokua mchimba chumvi...
Mneli sio shada man!SIjapinga uvutaji wa bangi mkuu ila nimesema Mwana FA hajawahi kuvuta bangi ,wapo viongozi wakubwa tu wanapuliza mneli.
96%hata humu wako hivyoWatanzania wengi wana chuki sana na watu wanaofanikiwa kwa kuwa mnawafahamu kidogo mtashinda mitatandaoni kuwachafua tuu mnachopenda ni kuona anapata tabu kama wewe harafu uandike uzi wa uongo kuonyeshwa kuguswa na tabu zake kumbe unatupakia rangi tuu huku moyoni mwako ukifurahia wapo wanaomchukia Diamond kisa wanamjua toka alivyokua mchimba chumvi...
Hata ile ya YAHYANje ya mada
Nasikia Ile nyimbo ya jide wanaume Kama mabinti ilikuwa ni diss track kwake
Heee sakramenti 😲😲😲 🤣🤣Acha kumchafua Mwana FA.Umeandika alikuwa anavuta bangi?Ndiyo point yako kuu.Andika alikuwa anapata "sakramenti" na wana.Umeelewa?
Mbona yeye ameoa mapema tu?Mwana fa anawafundisha msiwahi kuoa mkiwahi mtapauka mapema
No ni 30s.....Mbona yeye ameoa mapema tu?
Nadhani 30 ni umri sahihi kwa mwanaume kuoa.No ni 30s.....
Yes,na siyo 20sNadhani 30 ni umri sahihi kwa mwanaume kuoa.
Samahani falsafaMwana FA hajawahi kuvuta Bangi.
AnavutaMwana FA hajawahi kuvuta Bangi.
✍️Tuoe tukiwa na miaka mingapi madamMwana fa anawafundisha msiwahi kuoa mkiwahi mtapauka mapema
Basi sio mbayaAnavuta
Unajua huo wimbo waliimba wote?Nje ya mada
Nasikia Ile nyimbo ya jide wanaume Kama mabinti ilikuwa ni diss track kwake
HakikaElimu, elimu, elimu