MwanaFA anatufundisha nini?

MwanaFA anatufundisha nini?

Mwana FA hajawahi kuvuta Bangi.
Mkuu suala la kuvuta msuba kwa msanii wa bongo ni sawa na mwanchama wa Ccm na rushwa
Yaani ni dam dam
Usibishe sema kwamba hatuna uhakika maana ni suala la mtu mwenyewe anaweza kuvuta kwa siri na asijulikane
Bange inavutwa sana na wasanii tena hata hai wa zamani ndo walikuwa wanavuta mpaka studio kwa majani enzi hizo.
Ukisema uwapime ni wachache sana ambao hawajawahi kuvuta tena yawezekana hawapo kabisa sema tofauti ni kwamba kuna ambao walianza kuingiza na mtumizi ya unga na kuzidisha pombe ukijumlisha na bange halafu na stress za maisha ndo unapata mateja kama yule msanii nanii wa TMK
 
Halafu suala la kuvuta bange sio la ajabu na wala sio kwamba wote wanaovuta ukiwaona unaweza kuwatambua
Mbona kuna mpaka viongozi wanavuta na wako very smart labda baadhi yao ndo dish limecheza kidogo kama yule wa kipindi kile
 
Samahani kwenye swala la bangi point yangu ilikua tuchague vizuri marafiki na njia za kupita
 
Mkuu suala la kuvuta msuba kwa msanii wa bongo ni sawa na mwanchama wa Ccm na rushwa
Yaani ni dam dam
Usibishe sema kwamba hatuna uhakika maana ni suala la mtu mwenyewe anaweza kuvuta kwa siri na asijulikane
Bange inavutwa sana na wasanii tena hata hai wa zamani ndo walikuwa wanavuta mpaka studio kwa majani enzi hizo.
Ukisema uwapime ni wachache sana ambao hawajawahi kuvuta tena yawezekana hawapo kabisa sema tofauti ni kwamba kuna ambao walianza kuingiza na mtumizi ya unga na kuzidisha pombe ukijumlisha na bange halafu na stress za maisha ndo unapata mateja kama yule msanii nanii wa TMK

Aiseee kweli wewe haufai kuwa mpelezi hata kwenye familia.

Mvuta bangi anajulikana kabisa ukiacha lips kuungua kuna matendo na ongea yake tu....Ukimuangalia FA yaani hata fegi hajawai kugusa.
 
Unahangaika Sana kiufupi mwa fa shule imemsaidia kwa kiasi kikubwa sana.
 
Toka mitaa ya Upanga Kilombero ama Kalenga kuvuta bangi na washikaji mpaka Mjengoni. Muite MwanaFA.

Kuna muda ukitaka kutoboa kwenye haya maisha kuna maisha inabidi uyakatae na baadhi ya marafiki uwakatae completely.

Kwa maisha walioishi akiwa East Coast MwanaFA binamu asingefika hapa alipo kama angeendelea kubaki kule.

Ugomvi wake na GK na kundi la East Coast ndio umemfanya kubadili dira ya maisha huku king Crazy GK akiwa bado na mtazamo ule ule wa kuwa Gangster real OG

Chagua marafiki vizuri

MwanaFA alivuta bangi lini?
 
Toka mitaa ya Upanga Kilombero ama Kalenga kuvuta bangi na washikaji mpaka Mjengoni. Muite MwanaFA.

Kuna muda ukitaka kutoboa kwenye haya maisha kuna maisha inabidi uyakatae na baadhi ya marafiki uwakatae completely.

Kwa maisha walioishi akiwa East Coast MwanaFA binamu asingefika hapa alipo kama angeendelea kubaki kule.

Ugomvi wake na GK na kundi la East Coast ndio umemfanya kubadili dira ya maisha huku king Crazy GK akiwa bado na mtazamo ule ule wa kuwa Gangster real OG

Chagua marafiki vizuri

Hoja Yako kuu hapa ilikuwa ni "Kuvuta bange na washikaji"
Mpka mjengoni (kwamba wavuta/mia bangi ni watu wa hovyo hawafai sio [emoji122]

ECT haikuwa maskani ya wavuta bange kihivyo kama unavyoainisha hapo juu.
Utumiaji ni ule wa kujiskia tu labda nitafute mood ya kufanya verse au mizuka ya studio na vingine
ECT wako pamoja na ni familia ambayo imedumu Kwa muda mrefu mpaka sasa.

Alipo Fa,ay yupo nyuma alipo Ay,gzinga yupo Adam snare yupo Gk shata yupo, na Wana supportiana sema ni chini Kwa chini bila makelele.

Kama hujui jamaa ni watu kimya kimya sana mambo Yao, unakuja kustuka tu hili hapa limeibuka.
Kumbe mipango ipo tangu muda tu. Unakumbuka mchongo wa tigo kuhusu miito ya simu Ilivyowapa mkwanja mrefu.
Unajua biashara wanayofanya member wengine km Gzinga(buff g) na Snare?
Unaijua #Ujamaa wewe.

Na Tena fa alipokuwa ect alikuwa ana njaa hiivyo maana Babu yake Mzee Njenje ndio makazi yake.
Tujaribu kuheshimu Hustle za mtu. Hata kama hatukithamini basi tukiache kama kilivyo.

Kwa nn wengi Huwa wanaumia kuskia Fulani Kapunguza unafuu wa maisha. Why?
Chuki inazaa mjomba
 
Mwana fa katoboa sababu ya life choices ndio hoja yangu Kubwa hapa na kwamba ni mfano wa kuigwa. Mimi nimekulia kalenga najua nachokisema please!
 
Sio mzee,kipindi kile waliingia kwenye sintofahamu na Jide ,ndio akatoa kibao like,ukisikiliza kwa makini ni Fa.kama vile anavyosema yahaya kujidai usalama wa taifa,kufanya kazi benk,n.k
Ile ni diss track ya Gadner wala sio FA,
FA aliishi Kijitonyama enzi na enzi leo Jide aulize anaishi wapi!
 
Back
Top Bottom