MwanaFA anatufundisha nini?


Na niliwahi kuandika thread hapa, watanzania tuko watu wa ajabu sana , ujamaa ni uchawi na ndio maana wajamaa wote usoni ni watu mioyoni wamejaa chuki, ukitaka uishi vyema bongo watu waone matokeo tu na wasijue mipango ikoje,
 
96%hata humu wako hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…