Mwanafunzi afariki wakati mama yake mzazi akijaribu kumtoa mimba

Mwanafunzi afariki wakati mama yake mzazi akijaribu kumtoa mimba

Aliogopa mwanae kuitwa singlemom....maana kama kusoma mbona wanaruhusiwa kusoma hata wakipata watoto
Huyo mwanae si angetulia yote hayo yasingempata, so kwakuwa unaogopa mwanao kuitwa single maza ni sahihi kutoa mimba?
 
Back
Top Bottom