To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Ndo hivo....Dunia ingemwandama.singlemom, singlemom 🙄Huyo mwanae si angetulia yote hayo yasingempata, so kwakuwa unaogopa mwanao kuitwa single maza ni sahihi kutoa mimba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivo....Dunia ingemwandama.singlemom, singlemom 🙄Huyo mwanae si angetulia yote hayo yasingempata, so kwakuwa unaogopa mwanao kuitwa single maza ni sahihi kutoa mimba?
Na wakiolewa hawapati watotoJaman tuwawekee njiti miaka mitano
Watu wakitoa njiti wanazaa mbona bora tuwawekee njitiNa wakiolewa hawapati watoto
Wengi wameifanya hivyo, yawezekana hili limetambulika kwa sababu amekufa lakini yawezekana hata mke uliyenaye alitoa ila kwa sababu ni Siri Yao na wanawake Wana Siri nyingi ndio haikufahamika.Mwehu mno, kamuua mwanae kwa upumbavu wake
Sawa momWatu wakitoa njiti wanazaa mbona bora tuwawekee njiti
Unaiwaza Dunia itakuchukuliaje, itakuonaje?? Tena baada ya kukosea namna ya kuishi? To yeye!!!!Ndo hivo....Dunia ingemwandama.singlemom, singlemom 🙄
Sasa tufanyeje wanafanya kimya kimya hatujuiSawa mom
Ni kweli....na wanaume hawana huruma na nyuchi za watoto😞Sasa tufanyeje wanafanya kimya kimya hatujui
Mbona tunaandamwa kilasiku si maana yake tunasemwa kwanini hatukutoa kama wengineUnaiwaza Dunia itakuchukuliaje, itakuonaje?? Tena baada ya kukosea namna ya kuishi? To yeye!!!!
Wapo wengi tu wanafanya haya, kuna mama mmoja aliwahi funga safari kwenda chuoni kutoa mimba ya binti yake. Ilikuja bainika baada binti kuzidiwa sana ikabidi wamtaarifu baba mzazi ambae mkewe alimdanganya.Wengi wameifanya hivyo, yawezekana hili limetambulika kwa sababu amekufa lakini yawezekana hata mke uliyenaye alitoa ila kwa sababu ni Siri Yao na wanawake Wana Siri nyingi ndio haikufahamika.
Mpaka unaamua kushiriki ngono tayari unakua umejiandaa kisaikolojia kwa matokeo ya yanayohisiana na ngono zembe.Mbona tunaandamwa kilasiku si maana yake tunasemwa kwani hatukutoa kama wengine
Ndo ivo tukizaa maana yake tumeamua kulea...wasituzonge as if wanatuleleaMpaka unaamua kushiriki ngono tayari unakua umejiandaa kisaikolojia kwa matokeo ya yanayohisiana na ngono zembe.
Waache kujihusisha na mapenzi wangali wadogoJaman tuwawekee njiti miaka mitano
hilo sahihiNdo ivo tukizaa maana yake tumeamua kulea...wasituzonge as if wanatulelea
Anastahili kuaibika kwa alichokifanyaHuyo mama hajitambui. Amediriki kushiriki mauaji na Mungu akalipiza hapo hapo ili aibu yake ionekane.
😃😃 aah hamna mengine huja accidentally kusahauMpaka unaamua kushiriki ngono tayari unakua umejiandaa kisaikolojia kwa matokeo ya yanayohisiana na ngono zembe.
Wamama wa aina hii wana matatizo makubwa, unaweza kuwa alikuwa anamfanyia biashara binti yake.Anastahili kuaibika kwa alichokifanya
Wanafanya kujaribu bora kuwawekea njia za uzazi kuzuiaWaache kujihusisha na mapenzi wangali wadogo