Mwanafunzi ajaribu kujiua kwa kujikata tumbo baada ya kudaiwa kumuua mwenzake

...Omba TU Yasikukute..!
 
Sio lazima atoke kijijini mkuu ushamba ni tabia
 
Mi nilivyokua chuo nikiwa na uhakika wa kulamba nyapu tu nakua relaxed
 
Mtiririko wa matukio ya kikatili kwenye mahusiano au ndoa inatokana na wanaume kuacha kile ambacho Mungu alituusia namna ya kuishi na wanawake....na kamwe mwanadamu hawezi kubakia salama kwa kuacha kufuata maelekezo ya aliyemuumba......
Ume tu oa somo zuri sana Ningependa kukuelewa zaidi Mkuu
 
Hili pepo la mauaji halituachi tu.
 
wakina mama wapendeni watoto wenu wa kiume,ili muipore nafasi ambayo inaweza chukuliwa na mabinti wanaopelekwa na upepo wa wa kisasa.

wababa wapendeni mabinti zenu na kuwajali ili kuziba mianya ya vijana wa hovyo kuja kuwavuruga na kuwapeleka mbio.

hakuna jambo baya kama kupigwa tukio na mpenzi ambaye hana mbadala moyoni.
 
Tuwe na mipaka katika kupenda.....mpende mtu kwa kiwango cha wastani, kinyume chake ndio huleta hizi changamoto 😬😬
 
Shida iko hapa.
Mmoja anapokuwa anahitajiwa na kuoendwa Sana na watu na upande wa pili nigga bebe hazina mpango nae hapa lazima kitokee kitu.
Sumu mmoja kupendwa Sana na watu wapembeni, chuki na wivu lazima vije.
Yote haya mkuu yanahitaji kuwa na mipaka kwa kiasi kikubwa ,nafikiria ukiwa na mipaka maeneo yote kuanzia urafiki ,wafanyakazi wenzio mpaka majirani zako mambo haya yataisha..Mapenzi ya kazi au vyuoni yaantoka kuwa attached na mtu watu fulani nadhani utakuwa umenipata!! Kisaikolojia unaweza kuishi na watu au mwanamke kama mwanafunzi mwenzio na usimpenda au asikupenda ila ule ukaribu wako na yeye ndani ya miezi kadhaa unajikuta kashakaa kweny akili yako hii ni nature ya ubongo wa binadamu....

So ishu ya kupenda au kupendana na mtu maeneo ya kazi ni wewe akavyokuwa na ukaribu na ndivyo ubongo wako utajikuta unampenda mtu ...so hapa panahitaji mipaka mi binafsi najua udhaifu maana saikolojia naijua ya binadamu kuepuka ni kukaa mbali na uache mazoea la sivyo utajikuta unampenda mtu automatic kama alivyo.
 
Umeongea "point" tupu mkuu,na hiki ndicho vijana wengi wanachofeli
 
Area 51 inakuhusu mzee 😀
 

Hiyo kitu pia mimi sina kabisa walahi
Mwanaume ni mwanaume tu kwangu walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…