Mwanafunzi ajaribu kujiua kwa kujikata tumbo baada ya kudaiwa kumuua mwenzake

Mwanafunzi ajaribu kujiua kwa kujikata tumbo baada ya kudaiwa kumuua mwenzake

Mtiririko wa matukio ya kikatili kwenye mahusiano au ndoa inatokana na wanaume kuacha kile ambacho Mungu alituusia namna ya kuishi na wanawake....na kamwe mwanadamu hawezi kubakia salama kwa kuacha kufuata maelekezo ya aliyemuumba......

Ni mfano wa mashine inayokuja na kitabu Cha maelekezo ya namna ya kuitumia kutoka kwa aliyeitengeneza.......hayo maelekezo hupewi kwa kuwa anakupangia matumizi ya kifaa chako ulichonunua kwa pesa yako bali kwa ajili ya usalama wa hicho kifaa ili kikufae kwa muda mrefu na kwa usalama wako wewe ambaye ni mtumiaji wa hicho kifaa.......

Kuishi kwa akili na wanawake maana yake ni kuwaza na kuyatazama mambo au hali ilivyo mbele yake na kuchukua hatua wakati yeye bado amelala kwenye usingizi wa hisia......

Ndio maana kuna wakati mwanamke kihisia anaweza kukuzuia kwenda kwenye mihangaiko kwa kuwa anahitaji kuwa na wewe kwa kuwa anakupenda lakini wewe kwa kutumia akili yako na kuangalia jukumu lililopo mbele yako kama baba wa familia unaamua kutumia nguvu kumtoka na kwenda kutafuta ridhiki......

Vijana waache kuwaza na kuishi kama wanawake katika ulimwengu wa hisia bali warudi kwenye akili zao na hapo ndipo watakarejewa na fahamu zao na kufanya maamuzi sahihi pasi na kuelemewa na msukumo wa moyo........

Ukiweka hisia pembeni na kutumia akili zako utaona viashiria na muelekeo wa ndoa yako au mahusiano yako na hapo ndipo utakapo lazimika kushindana na msukumo wa moyo wako na kufanya maamuzi sahihi yatakayo kuepusha na majuto kwako na kwa wapendwa wako.........

Word is enough for the wise.....
 

Attachments

  • Screenshot_20220909-100720.png
    Screenshot_20220909-100720.png
    14 KB · Views: 2
Winfrida Michael (24) mwanafunzi wa Chuo cha St John amefariki baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julias Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapenzi.

Winfrida Michael (24) mwanafunzi wa Chuo cha St John amefariki baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julias Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa baada ya Julius kufanya mauaji hayo alijaribu kujiua kwa kujikata tumbo na sasa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Dodoma.

Ofisa muuguzi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Ester Ngoloki amesema Septemba 7, 2022 walimpokea Julias akiwa na jeraha la kuchomwa na kitu chenye ncha kali tumboni.

Amesema walimpokea Winfrida akiwa amefariki na mwili wake ukiwa na majeraha ya kitu chenye ncha kali.

“Majeruhi yupo hospitali akiendelea kupatiwa matibabu na anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji na mwili wa Winjfrida umechukuliwa na ndugu kwa ajili ya taratibu za familia,” amesema.

Chanzo: Mwananchi
Huyo muuaji anatibiwa ili ashtakiwe na kuja kuhukumiwa kifo....

Jamii imejaa roho ya ukatili
 
Winfrida Michael (24) mwanafunzi wa Chuo cha St John amefariki baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julias Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapenzi.

Winfrida Michael (24) mwanafunzi wa Chuo cha St John amefariki baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julias Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa baada ya Julius kufanya mauaji hayo alijaribu kujiua kwa kujikata tumbo na sasa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Dodoma.

Ofisa muuguzi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Ester Ngoloki amesema Septemba 7, 2022 walimpokea Julias akiwa na jeraha la kuchomwa na kitu chenye ncha kali tumboni.

Amesema walimpokea Winfrida akiwa amefariki na mwili wake ukiwa na majeraha ya kitu chenye ncha kali.

“Majeruhi yupo hospitali akiendelea kupatiwa matibabu na anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji na mwili wa Winjfrida umechukuliwa na ndugu kwa ajili ya taratibu za familia,” amesema.

Chanzo: Mwananchi
Duh habari mbaya hizi jana mbeya wanafunzi na leo huko.Wapi shida ilipo?
 
ila mapenzi jamani ? 🙌

halafu mtu anaweza akafanya kitu cha ajabu kwa sababu ya mapenzi ukamuona fala kabisa hana akili.

ila jamani omba yasikukute wewe yasikie tu kwa jirani.
 
Ninaongelea kitu kimoja kama mtanielewa ni hivi !! Mapenzi yako overrated sana haswa maeneo ya chuoni hata elimu ya chuo sasa watu wako na ushamba wakifika wanajiona ndo wamemaliza Maisha yaani vi miaka 4-5 unajikuta unajua mambo mengi sana...eti kuwa chuo bila ya demu haiwezekani? Vijana kutoka kijijini anafikria ivyo kafika dar anajikuta kamaliza Maisha kabisa!!

Chuo unaweza kuwa uko serious na mambo yako huna kesi na mtu ,kwa mtazamo wangu makazini miaka ijayo visa ya mapenzi vitakuwa vingi mno watu kumalizana maana hao wanafunzi ndo wafanyakazi wa baadae
Huu ndio uandishi wa mwananchi na magazeti mengi nchini.
Siwezi kununua gazeti kama hili!

Wivu wa mapenzi ndio nini?

Alifumaniwa,alhisiwa tu anachepuka?au alimsaliti hadharani,au nini kilitokea?

Maana wivu wa mapenzi ni kitu ambacho hakieleweki ni nini!
Wengine inaweza kuwa tu kutojiamini kutokana na kutomfikisha mapenzi wake ikamfanya akaingiwa na temporal insanity akaua akihisi tu mwenzi wake anatoka
 
Huu ndio uandishi wa mwananchi na magazeti mengi nchini.
Siwezi kununua gazeti kama hili!

Wivu wa mapenzi ndio nini?

Alifumaniwa,alhisiwa tu anachepuka?au alimsaliti hadharani,au nini kilitokea?

Maana wivu wa mapenzi ni kitu ambacho hakieleweki ni nini!
Wengine inaweza kuwa tu kutojiamini kutokana na kutomfikisha mapenzi wake ikamfanya akaingiwa na temporal insanity akaua akihisi tu mwenzi wake anatoka
Hilo swala ni Pana sana mno!! Kuna mambo mengi huno.
 
😂😂😂Maisha yataendelea kuwa magumu ukichanganya na mapenzi ona huyo jamaa wazazi washapata hasara miaka 26...Katika umri huo ubongo unatakiwa kuwa active na kuwa na kiu ya maendeleo kuwa na malengo mengi kisomi zaidi sio kubadili wanawake kama tabia ya kijana inavyoonyesha ni mtu wa totoz kwa sana.


Siku moja naomba wakubwa humu watoe mada kwa sababu huo ni ujana una mapitia mengi na majuto mbeleni..Demu yuko sahihi naona jamaa alikuwa utoto mwingi usela nnya
 
Namna YAKO ya Upendo inatoa picha Ni namna Gani ulikuzwa utotoni..

Aliyeuwa Huenda alikuwa neglected as a kid, Baba alimtenga au mama ... Hakuwahi pewa Upendo Unaostahili ..

Hajui kuwekeza hisia zake , Hana Marafiki ... Ako na poor reasoning .. nk ..

Hiyo ni case nyingine Kisaikolojia ..

Wazazi Tunaplay part Kubwa Sana kwenye Namna wanetu wanavyobehave.


Mlee mwanao vyema
 
Natangaza rasmi nyege ni janga la nne la taifa.
Kila mtu aelewe madhara ya nyege.
 
Winfrida Michael (24) mwanafunzi wa Chuo cha St John amefariki baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julias Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapenzi.

Winfrida Michael (24) mwanafunzi wa Chuo cha St John amefariki baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julias Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa baada ya Julius kufanya mauaji hayo alijaribu kujiua kwa kujikata tumbo na sasa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Dodoma.

Ofisa muuguzi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Ester Ngoloki amesema Septemba 7, 2022 walimpokea Julias akiwa na jeraha la kuchomwa na kitu chenye ncha kali tumboni.

Amesema walimpokea Winfrida akiwa amefariki na mwili wake ukiwa na majeraha ya kitu chenye ncha kali.

“Majeruhi yupo hospitali akiendelea kupatiwa matibabu na anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji na mwili wa Winjfrida umechukuliwa na ndugu kwa ajili ya taratibu za familia,” amesema.

Chanzo: Mwananchi
Hawa ndio wanatakiwa wakapigiwhwe shere jela hadi wapate akili maana huyo alikuwa anaigiza hakutaka kufa..

Kwa nini asijilushe kutoka juu ya ghorofa hadi chini?
 
Back
Top Bottom