Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Ah kwenda zako huko askari kanzu wewe!Natamani niache kulinda mipaka ya nchi niingie kufundisha halafu uwalete hao wanao shuleni niwaonyeshe kazi nione utanifanyeje .
Vipi, uliendelea na shule?Nikiwa primary darasa la nne niliwahi chezea stick zaidi ya 40 kutoka kwa mwalimu mmoja hivi bonge anaitwa Sylvia. Kisa nilikuwa napiga safa sana (natoka home ila shule sifiki).
Siku hiyo nikaja kimbizwa na wanafunzi wenzangu ambao walikuwa ndio wenye mbio shuleni wakanidaka. Tulikuwa karibu na home kwa chaliangu tunaepiga nae safa yeye aliwahi kushika panga wakaogopa kumdaka mimi nikabebwa juu juu nikaenda kuchezea stick shazi.
Acha wivu mwalimu.Na kinachotokea kila binti anatumia hiyo simu. Siku mmoja wa vidume akichati anapokea asiye mlengwa. Anashushiwa mistari na yeye analiwa pia.
Shule x ilipokamatwa simu iligundulika kidume kimoja kimewala wasichana 6 ambao wana share simu ya mmoja wao. Hii ni zaidi ya hatari.
Zaa wa kwako awe punga pia.Watoto wenu ndo wanakuja kuwa mapunga, nyambaf
Hata usiposhukuru utawapunguzia nini? Akili tu ya kuku uliyonayo na haitakusaidia. Jinga sana wewe.Aisee...
Kwa jinsi ninavyochukia walimu wa kibongo, kama angekuwa mtoto wangu, ningetandika walimu wote kila mmoja kwa wakati wake bila kumwambia sababu....
Sina shukrani yoyote kwa walimu wote walionifundisha bongo ... ni mijinga yote...
Mwanafunzi lazima ale mkong'oto wakisawasawa, hata akirudi anachechemea ni sawa, hakuna kufuga ujinga
NASEMA WALIMU TEMBEZENI BAKORA, PIGENI KISAWASAWA MPAKA MAKALIO YA HAO WANAFUNZI WASIO WATII YAVIMBE
Kwenda zako mbuzi asie na mkiaAh kwenda zako huko askari kanzu wewe!
Unajitia una uchungu na nchi kumbe hasira za mshahara duni.
Hauwajibiki kwa yeyote. Acha kiherehere.
Zaa wa kwako umpige mateke. Na ukimpiga tunakukamata kukuadabisha pia.
Mialimu ni mipumbavu sana.Hata usiposhukuru utawapunguzia nini? Akili tu ya kuku uliyonayo na haitakusaidia. Jinga sana wewe.
Huna unachujua we [emoji205] nyie ndo wale wakufuliwa chupi mpaka ukubwani she..zi wahedZaa wa kwako awe punga pia.
Ukimpiga mwanangu sijui umvulie chupi na kumdhalilisha nitakunyoosha mpaka maji uite mma.
Halafu kwanza wewe hauna hata vigezo vya kitaaluma vya kufundisha mtu yeyote.Huna unachujua we [emoji205] nyie ndo wale wakufuliwa chupi mpaka ukubwani she..zi wahed
Naona unatamani sana hashtags zianze kusambaa twitter, baada ya kukunyoosha, sawa [emoji1] challenge accepted njoo hapa kazima tupige stori mbili tatuUnaonaje tukikutana mimi na wewe tuzichape laivu?
Unaonekana mtamu sana wewe kwenye ku-TIWA kichapo.
Nikunyooshe vizuri mpaka uandike barua ya kustaafu.
Achana nao tunawajua hao, wamekua wananusa chupi za dada zao akili zimechanganyikanaKwenda zako mbuzi asie na mkia
Una nini Cha kunifanya wewe?
We have our own court
Tuma GPS location.Naona unatamani sana hashtags zianze kusambaa twitter, baada ya kukunyoosha, sawa [emoji1] challenge accepted njoo hapa kazima tupige stori mbili tatu
We mwehu nimetaja nilipo naona unakunya kunya, tembea mbele you are not my match,Tuma GPS location.
Ahsante sana mzazi unayejitambuaKachapwa fimbo chache sana,angepigwa hata 100 hakuna shida,walimu ndio wamesomea fani hiyo.
Ni sawa na ww mleta mada tukulaumu kwa kunyandua mkeo goli 2.
Acheni watu wafanye kazi zao kama unaona kaonewa basi mchukue na umfundishe ww hapo home kwako.
Asee ni atari hapo magonjwa kama ukimwi au gonorrhea kusambaa ni kama moto msituni.Na kinachotokea kila binti anatumia hiyo simu. Siku mmoja wa vidume akichati anapokea asiye mlengwa. Anashushiwa mistari na yeye analiwa pia.
Shule x ilipokamatwa simu iligundulika kidume kimoja kimewala wasichana 6 ambao wana share simu ya mmoja wao. Hii ni zaidi ya hatari.