Mwanafunzi aumizwa vibaya baada ya kuchapwa fimbo 20 na walimu 6 Jangwani Sekondari

Unatetea uovu wa mwanafunzi.
mleta hoja aliegemea kulalamikia walimu bila kueleza uhalisia watukio lenyewe.

Shule sio kanisani kwamba mwanafunzi afanye vile anataka..kuchapa atachapwa tu no way out mkuu.
 
Huna akili wewe.
Nyie ndio mnalea ujinga kwa watoto
Tupoteze muda kwa swala la malezi mabovu kwa mtoto wako. Kwanza hao walimu wangeongeza idadi zifike fimbo 100 kwa tako moja.
Ameenda kusoma au kuchati na kupiga picha walimu..
Ficha ujinga wako mkuu

Soma maelezo tena mkuu,,
Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.

Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.

Afrika ukatili umepitiliza,,huwa najaribu sana kuwatetea walimu especially kwenye ishu ya salary,,, however, kwa kitendo hichi cha kumpiga mwanafunzi wa kike, isitoshe matakoni!!!, hapana aise. mwanamke hapigwi matakoni, ni kumdhalilisha, wajifunze shule za kiislamu, zina maadili hawana upumbavu kama shule za upande wa pili.
 
Unatetea uovu wa mwanafunzi.
mleta hoja aliegemea kulalamikia walimu bila kueleza uhalisia watukio lenyewe.

Shule sio kanisani kwamba mwanafunzi afanye vile anataka..kuchapa atachapwa tu no way out mkuu.

Kama nikweli alikutwa na simu, japo hakuna evidence yoyote, ni tuhuma tu. So,,Hawakupaswa kupigwa, ungefanyika uchunguzi kwanza.
 
Duh, we jamaa 20 strokes unalalama hivi!! Mimi nilishawahi kuchapwa 60 na nikala ubuyu tu fresh. Muache mtoto arekebishwe.
 
Yaan viboko 20 unaongea? Cc tulikuwa tunachapwa 50 na tunatoka fresh. Acheni ujinga bana
 
Akalime, afyeke, 'apige magoti aite mvua hadi wenzake watoke'..

Kwamba hizo adhabu hazidhalilishi utu wake au unataka kusema nn?
 
Watu tumepigwa fimbo 100 na bado hata huelew kesho unarudia kosa.

Yan hawa wanafunzi wa dar aisee

NB; mkuu huyo mwanafunzi ni demu wako
 
Upande wa pili wanachapa sana watoto wait tangu vikiwa vichanga.

Wanakuwa wamezoea bakora.. hata malalamikaji kwenye kesi hiyo inaonekana so wa upande huo wa pili kwani asingethubutu kufungua mdomo wake.

Tatizo ni kuonekana na simu shuleni kinyume na taratibu za shule. Kahojiwa kakataa makusudi. Huenda na madharau juu.

Walimu ni binadanu.

Wazazi tufundisheni watoto wetu utii wa sheria bila shuruti. Wafuate sheria, kanuni na taratibu za kila pahala wanapokuwa.
 
Ungewataja hao waalimu, hasira za ugumu wa maisha wanamalizia watoto.
 
Akalime, afyeke, 'apige magoti aite mvua hadi wenzake watoke'..

Kwamba hizo adhabu hazidhalilishi utu wake au unataka kusema nn?
Sasa wewe hapo umeona anadhalilikaje utu wake? Corporal punishment inadhalilisha utu wa mtu. Period!
 
Tangu uhuru hili taifa limekuwa na watu wengi kama nyie mnaopiga watoto kama mifugo na halijfika popote.
Wengi wanaounga mkono huu ujinga ni ama ni waalimu au wahanga wa kuchapwa bakora utotoni mwao. Wengi maskini hawajui kama waliathiriwa kisaikolojia.
Twende nao tu hawa watu wazima wahanga wa ukatili utotoni/ujanani mwao.
 
Wakati huohuo mtoto akikosa kipindi nongwa!

Acheni kukariri
Nani kasema nongwa?
Kukosa kipindi ni sehemu pia ya adhabu ambayo kimsingi naiunga mkono.
Bakora ni utumwa na inatweza utu wa mtu. Historia ya bakora inaenda sanjari na asili ya utumwa. Kuna namna nyingi za kumuadhibu mtoto/mwanafunzi.
 
Hao waalimu wachukuliwe hatuna kwa kutoa adhabu ndogo

Ilitakiwa adhabu iwe kubwa kuliko hiyo

Walimu wapewe nguvu labda itasaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili
Maadili hayajengwi hvyo. Kama unategemea huyo mwalimu anae shinda na mwanafunzi masaa 8 per day kwa siku 5 ndani ya wiki atengeneze mwanafunzi mwenye maadili. Maadili msingi wake ni familia ndio zinakuja hizo taasisi nyingne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…