Mwanafunzi bora UDSM ametuokoa wanaume anaitwa TITO ana GPA ya 4.8 net bila nyongeza

Acha KUKURUPUKA na kuonyesha upumbavu wako hadharani. Katika nchi yenye upungufu mkubwa wa madaktari, manesi, wahandisi, wahasibu inakuwaje Serikali iseme uongo kwamba haina pesa za kuwaajiri wahitimu hawa huku miaka mitano iliyopita ilinunua ndege kwa trillions 5 na kulipa cash huku ndege hizo zikiingiza hasara ya 73 billions kila mwaka? Watanzania kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa.


Acha ramli za kijinga
 

Mbona kama Mnyarwanda??
 
nilijua wewe ni demu, kumbe ni msela!!!!!!!!!
 
Ila kwa nini hizi taarifa hazikutoka katika vyombo vya habari kama zioivyofanyika kwa wale KE? Naona sasa tunaanza kubaguana sisi kwa sisi, kwamba wao ME na sisi ni KE.
Mkuu we hujui kuwa mtu kula samaki si habari lakini samaki akila mtu ni habari...!
 
Kumbe ni 'etss' nilidhani Sayansi.
 
mimi nilijua GPA ya uchumi,Engineer,chemistry,physics na nuclear.

hii hata kingwendu hakitaka kusoma anaweza kipata GPA 5
 
[emoji654][emoji654][emoji654]SAWA ...TUMEKUPATA VYEMA KBS KUTOKA MITAANI....

MIMI KAMA STREET BOY NAMSHAURI AANZE UMACHINGA MAPEMA TU ....

anyway [emoji654][emoji654]kongole kwake ...atapata madem Sana , atasifiwa Sana , Ila mwisho wa siku bila PESA atakuwa takataka tu...

Senkyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…