Mwanafunzi bora UDSM ametuokoa wanaume anaitwa TITO ana GPA ya 4.8 net bila nyongeza

Mwanafunzi bora UDSM ametuokoa wanaume anaitwa TITO ana GPA ya 4.8 net bila nyongeza

Nawafahamu Wanafunzi kama watano wa UDSM na DIT wamefanya vizuri sana kwenye mechanical engineering na electrical engineering mwaka huu lakini wote na wazazi wao wameshaanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu ajira.
Ohoo ndio hapo mwisho wa siku kila mtu anapambana na hali yake, magazeti yatawapamba leo kesho watu wanasahau
 
Na si ajabu hana ajira na labda anatoka katika familia ya kimaskini hana mtaji wa kujiajiri hivyo elimu yake ITAPOTEA BURE.
Ajaribu ualimu wa hesabu, la sivyo sekta ya takwimu, sijaona ajira binafsi inayoihusu
 
Back
Top Bottom