BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Hebu acha kujifanya unanijua!!! 😳😳😳
Uyo apo lazima abaki apo apo kufundisha,sio mwenzako,ajira tayari apo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo apo lazima abaki apo apo kufundisha,sio mwenzako,ajira tayari apo
..na kweli na kuwe na nafasi iyo uTAHilo ni kweli lakini niliwahi kusikia hata hiyo bajeti yake ni mgogoro.
Mahafali zilikua siku tofauti, ilianza ya mabint na hiyo ya huyo kijana ni mahafali ya janaIla kwa nini hizi taarifa hazikutoka katika vyombo vya habari kama zioivyofanyika kwa wale KE? Naona sasa tunaanza kubaguana sisi kwa sisi, kwamba wao ME na sisi ni KE.
Asante kwa taarifa nzuriMahafali zilikua siku tofauti, ilianza ya mabint na hiyo ya huyo kijana ni mahafali ya jana
Kwa sasa anaweza pata connection kwa wenye makampuni yao wakiona hii habari
Mahafali zilikua siku tofauti, ilianza ya mabint na hiyo ya huyo kijana ni mahafali ya jana
Kiongozi huyo hawezi kuingia mtaani UD lazima watambakisha kwa ajili ya MastersNa si ajabu hana ajira na labda anatoka katika familia ya kimaskini hana mtaji wa kujiajiri hivyo elimu yake ITAPOTEA BURE.
Ohoo ndio hapo mwisho wa siku kila mtu anapambana na hali yake, magazeti yatawapamba leo kesho watu wanasahauNawafahamu Wanafunzi kama watano wa UDSM na DIT wamefanya vizuri sana kwenye mechanical engineering na electrical engineering mwaka huu lakini wote na wazazi wao wameshaanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu ajira.
UD hua wanafanya mahafali siku zaidi ya moja, sijajua sababu exactly but nahisi sababu wako wengiKwanini haikuwa siku moja kwa wote? Ni utaratibu mpya?
UD hua wanafanya mahafali siku zaidi ya moja, sijajua sababu exactly but nahisi sababu wako wengi
Aah thank you mkuukila college inajitegemea!. so inakua na schedule yake!.
Akili zako ni mbili na za hovyoGPA 2.5 Engineering,udaktari,sayansi >>>> (4.8 GPA ya law,arts, ualimu)x3
Walimu mshapanickAkili zako ni mbili na za hovyo
Sure kabisaKiongozi huyo hawezi kuingia mtaani UD lazima watambakisha kwa ajili ya Masters
Acha ramli za kijingaNa si ajabu hana ajira na labda anatoka katika familia ya kimaskini hana mtaji wa kujiajiri hivyo elimu yake ITAPOTEA BURE.
Ajaribu ualimu wa hesabu, la sivyo sekta ya takwimu, sijaona ajira binafsi inayoihusuNa si ajabu hana ajira na labda anatoka katika familia ya kimaskini hana mtaji wa kujiajiri hivyo elimu yake ITAPOTEA BURE.