Mhaya mmoja huyo
Wakuu kumbe kuna mwamba UDSM ana GPA ya 4.8,.
Khaa ametuokoa wanaume, wanaume tulianza kusemwa wakuu.
---
Mtoni Tito Paul ambaye ni mhitimu wa Shahada ya Awali ya Elimu jamii katika Takwimu yaani B. A. of Arts in Statistics UDSM aliyepata GPA ya 4.8 na kuwa mwanafunzi bora UDSM
View attachment 1981949
Tito Paul(Kulia) akiwa na Mkuu wa Chuo Dar es Salaam, Dkt. Kikwete
Mimi nimeshanga kwelikumbe hii ID ya dume ?
Dah!...Inasemekana huyo mwamba aliwahi kusoma mechanical engineering pale coet,alivyofika mwaka wa pili akadisco.ikabidi aanze upya hiyo course ya statistics.
Labda hako jina lenyewe, kuna mtoni/umtoni nam mengine ya mwilini mmmh nabaki na langu moyoni.Ila kwa nini hizi taarifa hazikutoka katika vyombo vya habari kama zioivyofanyika kwa wale KE? Naona sasa tunaanza kubaguana sisi kwa sisi, kwamba wao ME na sisi ni KE.
Buhaya iko upande gani?Mhaya mmoja huyo
Mafuta ya kupikiaGPA ndio nini kwanza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi nilijua GPA ya uchumi,Engineer,chemistry,physics na nuclear.
hii hata kingwendu hakitaka kusoma anaweza kipata GPA 5
Hiyo ilikuwa ni chemical engineering mkuu
The akajiendeleza kwa ajili ya kuja kuwa independent kwenye haya:-Kwa sasa anaweza pata connection kwa wenye makampuni yao wakiona hii habari
Ndo atajua hajui [emoji23][emoji23]Ngoja aje street