Mwanafunzi Esther wa Panda Hill aliyepotea kwa siku 35 amepatikana, yadaiwa alitoroshwa na mchoma mkaa

Hawa madogo wameanza kuijua mboro mapema sana aisee.
Watoto wa kike ni hatari kinoma, kuna dogo alikua vizuri sana primary. Alipofika form three wakaanza kumzagamua basi akabadirika kila kitu.

MImi nalia na mavazi, hawa madogo wanavaa hovyo sana aisee.
Wazazi sijui umagharibi umewajaa, madogo wanaruhusiwa kuvaa wanavyotaka aisee.
Wanatongozwa na vijana si kwakua vijana wana tamaa sana ila wanashawishiwa na mavazi wanayovaa hawa watoto.
 
Huu umeme wa Makamba hizo electric fence ni mapambo tu.

Sijaona umri wa binti ukitajwa,au ni wale wamama waliorudi shule kwa hisani ya watu wa Marekani.
 
Apimwe na Ukimwi
 
Eeh alikua anaandaliwa kwenda kujitoa mhanga huko mashariki ya kati nini maana harakati zimepamba moto... soon na bongo wataanza kujilipua ili kuunga mkono DP World!
Hata mimi nafikiria hivyo..
Ngoja tuwasubiri wajitoaji mhanga wengine!
Maana nchi yetu kwa "kiki" haijambo..
Anyway, let's give it time.
 
Bado sarakasi za kunisahaulisha azijapatikana.... Madktal wa Sudan Nimetoka kapa.... Na hili pia waruke zingine nizione
Tulia hapo hapo, kuna kitu kiko jikoni kinakaribia kuiva..
Lazima utasahau tu utake usitake
😁😁😁😁😁😁
Nchi hii buana, viongozi sometimes wanatuonaga kama mazuzu fulani hivi
 
Tulia hapo hapo, kuna kitu kiko jikoni kinakaribia kuiva..
Lazima utasahau tu utake usitake
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nchi buana, viongozi sometimes wanatuonaga kama mazuzu fulani hivi
Niko nasubiri mzee Hila sidhan kama nitasahau
 
Way back 2003/4
Kuna familia ulizuka utata mzito sana kama wa Esther lakini kumbe Esther yule alikuwa pahala akihesabu vinywele vya mjuba flani hivi kifuani siku 3 mara 4 mara week.
Afande mmoja kijana mwerevu ni baharia kama mabaharia akakalisha zile familia na kuwapa jambo kuwa yaaishe.

Esther yule alipopatikana akasema anataka kuolewa asilazimishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…