Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Siku hizi ukipigania uhuru wako na haki yako unaitwa GAIDIMagaidi wa Hamas ni wabaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi ukipigania uhuru wako na haki yako unaitwa GAIDIMagaidi wa Hamas ni wabaya sana
Vijana utawawezamkuu sio kimi mkuuKataa ndoa sawa[emoji1690] kataa wanawake tena[emoji849][emoji849]
Umemsahau Chacha WangweWarudisheni Azory,Ben, Kanguye,Akwlina na Lwajabe Ili tujue nyinyi ni magaidi waziri.
Mkuu hata mimi form 4 nlipaa zero sasa zero si haupati cheti so nimekupita madarasa 4 tu wala usijali, kwanza kama umesoma shule ya msingi tu inatosha, me mwenyewe nlikuwa la 7bmkuu sio wote tumepata bahati ya kwenda shule..nimeishia darasa.la 3b
Noma snaVijana utawawezamkuu sio kimi mkuu
Kama kweli Mungu yupo, hapo wa kulaumiwa ni Israel.
Kwanini ikalie ardhi ya Wapalestina kimabavu.
Kama kweli pepo ipo, marehemu anastahili pepo.
Japo tulikuwa chama kimoja na wapalestina wakati tunapigania Afrika kusini iwe huru. Lakini Afrika yote ilipokuwa huru, tukawatosa Wapalestina. Nyerere alipokufa ndio kabisa. Hivyo ndivyo waafrika walivyo!Siku hizi ukipigania uhuru wako na haki yako unaitwa GAIDI
Wewe unamfikiria girlfriend wake hujawafikira wazazi wake,huyo girlfriend mwenyewe unaweza kukuta jamaa alivyoondoka tuu tayari alishatafuta mbadalaSijui girlfriend wake ana hali gani jamani
Akili zako hazina akiliArdhi ni ya israeli hiyo
Waarabu wanafaa waangamizwe wote dunia ni mijitu yenye ushetani
Yaani girlfriend awe na maumivu kuliko wazazi na familia ya kijana,what a fu**k idea!!?Sijui girlfriend wake ana hali gani jamani
hao inajulikana mkuu.tuliaYaani girlfriend awe na maumivu kuliko wazazi na familia ya kijana,what a fu**k idea!!?
hao inajulikana maumivu yao.kuna rafiki sasa mimi ndo nawawazia hao...we waza wazazi na mm nawaza marafikiWewe unamfikiria girlfriend wake hujawafikira wazazi wake,huyo girlfriend mwenyewe unaweza kukuta jamaa alivyoondoka tuu tayari alishatafuta mbadala
una laha ulipata zilo...mimi hata la xaba xikuwezq fika...nifundixxhe tu inapobidiMkuu hata mimi form 4 nlipaa zero sasa zero si haupati cheti so nimekupita madarasa 4 tu wala usijali, kwanza kama umesoma shule ya msingi tu inatosha, me mwenyewe nlikuwa la 7b
kama B alikuwa na wapenzi wengi bas hamna maumivu sana.A na B ni wapenzi.
A amefariki
B atakuwa hana mpenzi. Na hali yake itakuwa mbaya sana
Aisee sina kipaji cha kufundisha masta hilo la saba lenyewe ni kwa kudra tu aisee…lakin hongera zako wote mimi na wewe tuna shule ya msingi ambayo ndio elimu inayotosha kabisa kuendesha maisha duniani.una laha ulipata zilo...mimi hata la xaba xikuwezq fika...nifundixxhe tu inapobidi
ubalikiweAisee sina kipaji cha kufundisha masta hilo la saba lenyewe ni kwa kudra tu aisee…lakin hongera zako wote mimi na wewe tuna shule ya msingi ambayo ndio elimu inayotosha kabisa kuendesha maisha duniani.
Aminaubalikiwe